Gharama ya kujenga chumba na sebule master

Inategemea unataka chumba cha ukubwa gani na ubora gani. Hiyo hela hata kwa udongo unamaliza hicho unachotaka
 

Savimbi Jr wapi kuna kiwanja cha 1m dar es salaam?
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana .Mimi ni Fundi ujenzi . Nipatie hilo dili.
 
Kwa ufupi haitoshi ndugu! Bt unaweza anza kidogo kidogo. Nunua material weka site au wekeza kwenye duka la vifaa vya ujenzi kidogo kidogo ukihakikisha una material zote tafuta hela ya fundi anza ujenzi.
Kujenga inawezekana na hakuna muujiza ktk kujenga. Usiogope unaweza kujenga zaidi hata ya chumba sebule.
Ukitaka fundi muaminifu nipm kuna fundi mzuri alinifanyia kaz zangu kwa uadilifu na uaminifu sana
 
nyumba ni kitu cha kudumu mkuu, hupaswi kukurupuka!tafuta raman nzuri unayoipenda then anza kujenga msingi kwa kutumia hyo 5m. Kikawaida kwa standard residential house 5m yatosha kumaliza foundation kabsa. Then endelea kuchapa kaz kwa juhudi na kila sent utakayopata sasa waeza peleka tofal kidogo kidogo site na mwsho wa siku utajikuta zishatimia za kufikisha mjengo wako kwenye lintel. Give yourself time, usichoke kulipa kodi, lipa tu ila mwsho wa siku wahamiakwenye nyumba nzur inayoeleweka.
 

hii point nzuri, naona hata mimi itanifaa tu!!
 
mie nilikua na gofu, nikalipaua weka bati , gypusm tiles umeme , bafu ndani kwa 6 mil

so approx apo unaweza ,,,kama una kiwanja utafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…