Aliahidi kuwataja lakini hajatimiza ahadi yake! Kisha tuona mabwege!!Atuambie hao waliochanga hizo fedha NI akina Nani !
Aliahidi kuwataja lakini hajatimiza ahadi yake! Kisha tuona mabwege!!Atuambie hao waliochanga hizo fedha NI akina Nani !
Ninyi exposure yenu ndogo hadhi ya Rais anapaswa kukaa maeneo yenye security!
Unataka abanane na Roma manzese za Marekani?
Pia in Order to earn you must first inject something!
Hizo ni operating costs ambazo tunasubiri a faida
She is president even though hana hadhi kama BidenHadhi ya rais wa Tanzania huko US?! Rais wa Tanzania ana hadhi gani huko US?
She is president even though hana hadhi kama Biden
Hakuna justification yeyote kwa gharama zote hizi.She is president even though hana hadhi kama Biden
Filamu yenyewe ya kushika na shokaTumekaushwa haswa kisa uzinduzi wa filamu.
Wakaishia kufanya shopping tu.
Aisee acha walambe asali.
Inakuwa kama water GetHakuna justification yeyote kwa gharama zote hizi.
Ukizingatia ukali wa maisha tulionao na uwezo wa nchi yetu kumudu luxury kama hizi.
Kama kweli zimelipwa na wadau.
Hao wadau ni kina nani na wanafanya hivyo kwa malengo gani??
Kwanini huyo msamaria mwema hatumfahamu mpaka sasa??
We need an independent investigation into this matter As soon as practicable so as to clear our highest office in the country from any scandals unless we agree to condone such malpractices.
Watanzania mkiacha Kulipa Kodi tu Imekula KwaoTufanyaje sasa ?
Wakati bongo kuna hoteli kwa siku $20000Pesa ndogo Sana hiyo
Yeye mwenye kala good time na bado anakula good timeYule kijana aliyesema katika watu wanaokula raha duniani yeye ni number moja atakua anasikitika sana...
😀😀watu wanashangaa Rais na delegates wake kulala chumba cha 1.5 m nchini Marekani..Ushamba tu na roho mbaya zinawasumbua! Humiyo gharama kwa hotel kubwa ni ndogo mno! Hapa Tanzania tu kuna hotel zina bei kubwa kuliko hizo. Sijui mnaishi mapori gani hata hamna habari.
Lipa wewe kwa pesa yako hujakatazwa.Wakati bongo kuna hoteli kwa siku $20000
Hiyo 700$ mbona ya kawaida sana
Ova
Hadhi ya kulazimisha, hakuna hata aliyejua rais wa Tanzania alikuwa huko, labda watu wa immagration na kina Mange Kimambi.
Hiyo ni 1m na sio kama mtoa mada alivyosema.Sasa kuna tofauti gani