Scientist
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 391
- 17
Hivi wanajeshi wa bongo, mnarundika mibomu kwenye maghala ili iweje???... Na kwanini kwenye maeneo ya makazi ya watu?? Mapori yooote Tanzania mmeyaacha mnaenda kwenye makazi ya watu??? duh!!
Yaani asipostep down mtu, tutaondoka na roho ya mmoja wao we waacha... Kwanza inaonekana walinunua mabomu yaliyoexpire, ili wapate dili la kuchakachua, ona sasa wanavyoingia aibu!!!!! Sé&nzi taip!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:angry:
Yaani asipostep down mtu, tutaondoka na roho ya mmoja wao we waacha... Kwanza inaonekana walinunua mabomu yaliyoexpire, ili wapate dili la kuchakachua, ona sasa wanavyoingia aibu!!!!! Sé&nzi taip!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:angry: