Get well soon miss chagga

Get well soon miss chagga

asante my dia..nitafanya hivyo leo pakikucha
Unaweza kula na salad
(kachumbar) hakikisha vinakuwa vingi tu, na unaweza kula peke yake na
unasukumia kwa maji.

Kasoro ustahamili harufu ya mdomo tu, lakini kwa afya na harufu, mimi na
prefer kuistahamilia harufu ya muda kwa afya yangu.
 
alafu si vyema kuongea uongo mkuu unaleta masihara mwenzio anaumwa mimi nipo huku tangu ijumaa nilivyo saini auti kunako ofisi mpaka muda huu afu iweje niwe miss chagga
naona anakuonea bana,kwanza style yako na ms chaga ni tofauti sana.
 
Pole tele. ilaaa. Malaria inasumbua? Au yeye anaisumbua malaria au anaisingizia malaria? Hujaona matangazo ya malaria free?
 
Back
Top Bottom