Get well soon miss chagga

Get well soon miss chagga

pole miss chagga
Asante sana
get well soon
Thank u
Pole tele. ilaaa. Malaria inasumbua? Au yeye anaisumbua malaria au anaisingizia malaria? Hujaona matangazo ya malaria free?
Toka huko unaumbea we ... malaria wakati mbu wengi hadi mchana
Ndiyo malaria ila hata mi siumwi mara kwa mara sijui hii nimeitoa wapi?
Ugua pole Kadadaa..
Asante kakakaaaaa
Thank u sana
Get well soon miss chagga my prayers are with u today n always

Thank u sana na ubarikiwe
 
Last edited by a moderator:
Inavutia kuona mwenyewe kang'aa anga hizi lakini kasahau kusema anaugua.
Na kutumia Mjumbe kuwakilisha. how sweeet!
Sio ishu,
Mjumbe,
Mwambie tunamuombea afya njema.

Ni kweli nilikuwepo jf napenda kuwepo na mara nyingi huwa si sign out nakuwa online 24hours as long as nina bandle kwenye simu
 
Akapime na vile vipimo vikubwa maana amezidi kuchepuka.

Jamani mbona unanisingizia we mtu kaone sura mbaya kufa hutaki.... kichwa chako ngoja niponi lazima nikutafutie mchepuko lazima mpaka ufanye dhambi
 
hiyo kwenye bold ni nini?..net ninayo na bado naumwa...
duh?!!,hili janga kumbe,muwe mnajichunga sana jaman,ooho.

Ndo maana mi sipendi kuendekeza nanilii na nko fit nakata hata miaka 10 bila maralie.
Net huna?
 
Back
Top Bottom