miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Najitahid kupotezea humu maumivu ila kuna wakati homa inakuwa juuu sana. Nakosa pumzi na miguuu inalegea.. but leo naendelea vizuri kidogo.loh, malaria haikubaliki jamani, miss chagga si nimemwona hum jana tu, get well soon mamii!