sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
Get well miss chagga!Am praying for you!
Last edited by a moderator:
poleni wote jitahidini kula na maji mengi matunda kwa sana mrudishe nguvu
afu mtoa uzi ndo mkweo amah
Asante doctor, tutakunywa maji mengi. Hapana sio yeye
Upone haraka miss chagga.Ukipata nafuu nitafute nikupe namna ya kuepuka malaria ya mara kwa mara
hahahahaha douta hajakutambulisha amah mbona ana info zake
Jirani yetu huyo, tunaishinae hapa mtaani
Kwanini usiseme hapahapa mkuu? malaria mimi ndio ugonjwa wangu,unanisumbuaga sana.
FaizaFoxy...vitunguu maji vinatafunwa peke yake ama? malaria inanisumbua pia
MziziMkavu kakurithisha uganga.
FaizaFoxy...vitunguu maji vinatafunwa peke yake ama? malaria inanisumbua pia