Gerva Lyenda: Wanaosema Heche anakula hela walete ushahidi

Gerva Lyenda: Wanaosema Heche anakula hela walete ushahidi

Ina maana hauna kazi nyingine ya kufanya?
nadhani ugekua bize na shughuli zako zaidi kuliko kunifuatilia jukwaani asubuhi, mchana, jioni na usiku kama vile dozi ya homa na itapendeza zaidi gentleman :pedroP:
 
nadhani ugekua bize na shughuli zako zaidi kuliko kunifuatilia jukwaani asubuhi, mchana, jioni na usiku kama vile dozi ya homa na itapendeza zaidi gentleman :pedroP:
Mbona unaandika mambo ambayo sijakuuliza?......umepanic aisee......... 😀
 
Mbona unaandika mambo ambayo sijakuuliza?......umepanic aisee......... 😀
si umeniuliza sina kazi nyingine ya kufanya?

na mimi ndio nimekujibu sasa,
ikiwa wewe una kazi nyingine ya kufanya,
kulikoni unafuatilie mimi asubuhi, mchana na jioni kama vile dozi ya homa badala ya kuchapa kazi zako kwa bidii zaidi na maarifa zaidi na kujiongezea kipato?

au unataka kua fisadi kama heche?

kupanic utapanic mwenyewe tu gentleman, mtaa huu hiyo ni hot air tu :pedroP:
 
si umeniuliza sina kazi nyingine ya kufanya?

na mimi ndio nimekujibu sasa,
ikiwa wewe una kazi nyingine ya kufanya,
kulikoni unafuatilie mimi asubuhi, mchana na jioni kama vile dozi ya homa badala ya kuchapa kazi zako kwa bidii zaidi na maarifa zaidi na kujiongezea kipato?

au unataka kua fisadi kama heche?

kupanic utapanic mwenyewe tu gentleman, mtaa huu hiyo ni hot air tu :pedroP:
Umepanic aisee.......ona majibu yako. Umeona wapi ninakufuatilia......😀
 
Umepanic aisee.......ona majibu yako. Umeona wapi ninakufuatilia......😀
unaposema sina kazi nyingine ya kufanya,
maana yake wewe upo JF asubuhi, mchana na jioni kunifuatilia kanakwamba sina kazi nyingine ya kufanya,
huenda hiyo ndio kazi yako sasa kunifuatilia,

na mimi nakushauri uifanye kwa bidii ikiwa inakuongezea kipato na itapendeza zaidi :pedroP:

usiige kabisa kua fisadi kama heche
 
unaposema sina kazi nyingine ya kufanya,
maana yake wewe upo JF asubuhi, mchana na jioni kunifuatilia kanakwamba sina kazi nyingine ya kufanya,
huenda hiyo ndio kazi yako sasa kunifuatilia,

na mimi nakushauri uifanye kwa bidii ikiwa inakuongezea kipato na itapendeza zaidi :pedroP:

usiige kabisa kua fisadi kama heche
Umepanic Bro......fanya kazi. Keyboard ipo daima. Watu wamekuja na kuondoka. Haina faida. Sana sana unatafuta uteuzi na buku 7 😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom