Gerson Msigwa azomewe siku ya Mwananchi

Gerson Msigwa azomewe siku ya Mwananchi

Watakachofanya watawaandaa chawa baadhi kwenye angle mbali mbal za uwanja na kisha kuongea na cameraman awe anamulika kule walipo...

Na sidhani kama huyo jamaa atarudia tena...
Lakini naunga mkono hoja ikitokea wakaleta siasa uwanjani ni kuzomea tu....

Mtu mnaelewa fika kwamba rais huyu hakubaliki, halafu unakwenda uwanjani na kisimu chako unalazimisha watu waimbe mamaa! mamaa!... hivi ulikuwa unategemea nini?

Yanga wasituangushe....
 
kosa lao inaweza kuwa kurusha mikono wakati wameambiwa waimbe mamaa maama maama...

kama yule aliyechana picha ya samia hajulikani alipo!

vipi kwa hawa wanaopinga hadharani kuimba, maama maama maama...
Sasa ikiwa ivyo itakua TZ imegeuka ZAIREEEE ya Mobutu sseseko.

Au kama enziii za KAMUZU BANDA 🙌🙌🙌
 
Wanayanga ni lazima wapewe mrejesho wa namna kampeni za CCM zinavyoendelea majimboni maana wao ni wafadhili wa hicho chama!!!
 
Watakachofanya watawaandaa chawa baadhi kwenye angle mbali mbal za uwanja na kisha kuongea na cameraman awe anamulika kule walipo...

Na sidhani kama huyo jamaa atarudia tena...
Lakini naunga mkono hoja ikitokea wakaleta siasa uwanjani ni kuzomea tu....

Mtu mnaelewa fika kwamba rais huyu hakubaliki, halafu unakwenda uwanjani na kisimu chako unalazimisha watu waimbe mamaa! mamaa!... hivi ulikuwa unategemea nini?

Yanga wasituangushe....
Hatutaki ujinga watu tunaenda kufurahia burudani ya mpira wanaleta ujinga
 
Kwa sababu jana mpira ulidunda kwa kumshangilia mama samia, huu mpira wataurudisha kwa Yanga ili kujisafisha.

Natamani huko Insta, Facebook, JF, X n.k wananchi tuwe na kauli moja tu. Tuanze mzoea Msigwa hadi huo mwenzie.
 
Watakachofanya watawaandaa chawa baadhi kwenye angle mbali mbal za uwanja na kisha kuongea na cameraman awe anamulika kule walipo...

Na sidhani kama huyo jamaa atarudia tena...
Lakini naunga mkono hoja ikitokea wakaleta siasa uwanjani ni kuzomea tu....

Mtu mnaelewa fika kwamba rais huyu hakubaliki, halafu unakwenda uwanjani na kisimu chako unalazimisha watu waimbe mamaa! mamaa!... hivi ulikuwa unategemea nini?

Yanga wasituangushe....
Kabisa mkuu, hiko ndo watakachoandaa, kuweka watu wao na cameraman kumulika walipo.

Hovyo kabisa.
 
Dini zote mbili zinakataa mwanaume kutawaliwa na mwanamke, sio kiroho au kimwili pia. Sasa unashangaa dume zima linaimba mamaa mamaa.
 
Back
Top Bottom