George Marato awekwa chini ya ulinzi

George Marato awekwa chini ya ulinzi

Ni udhaifu mkubwa kumpiga mtu anayekuibia mpenzi wako. Ukiona unaibiwa, mchawi ni mpenzi wako-sio anayekuibia.
Jamaa anatabia ya kutongoza wake za watu sana alishawai mtongoza demu wangu alikua anafanyakazi musoma vijijini basi nikachukua namba yake toka kwa demu wangu alafu nikampigia Marato nikijifanya police nikampa biti la hatari mpaka akaomba msamaha.kumbe jamaa yawezekana ndo mchezo wake kutongoza wake za watu.
 
Jamaa anatabia ya kutongoza wake za watu sana alishawai mtongoza demu wangu alikua anafanyakazi musoma vijijini basi nikachukua namba yake toka kwa demu wangu alafu nikampigia Marato nikijifanya police nikampa biti la hatari mpaka akaomba msamaha.kumbe jamaa yawezekana ndo mchezo wake kutongoza wake za watu.
Mtenda akitendewa huhisi ameonewa.
 
Kwa kweli, mimi faster tu, aende zake ili awe huru na huyo jamaa, yaani wanawake wote hawa hadi wanafika hatua ya kutembea uchi barabarani ili tu watushawishi eti nije kumng'ang'ania mmoja tu! Akwende huko!
Unasema tu mkuu,omba yasikufike
 
Siwezi kumlaumu George Marato.Na Hata kuuwa angeweza kuuwa kabisa.

Issue ya mahusiano ni ngumu si rahisi kama unavyoichukuliwa.

Tofauti ya mahusiano kati ya MTU na MTU ni jinsi ubongo wako ilivyoyapa uzito na kuyathamini.

Badooo Marato Njoo na kwa wenyeviti wetu!!!!!!
 
Jamaa anatabia ya kutongoza wake za watu sana alishawai mtongoza demu wangu alikua anafanyakazi musoma vijijini basi nikachukua namba yake toka kwa demu wangu alafu nikampigia Marato nikijifanya police nikampa biti la hatari mpaka akaomba msamaha.kumbe jamaa yawezekana ndo mchezo wake kutongoza wake za watu.
Ndo huwa mambo yake hayo ila naye kapatikana
 
Mapenzi ni kitu kingine,huoni hata Mbowe anamwita Wema baby,wakati hajawahi mwita darling mkewe Liliane.Pole George naona ulitaka kuua kwa sababu ya mapenzi.
Nina uhakika unamfahamu vizuri Mama Jeremiah aka mtoto wa Mzee Malomo ukiachilia mbali yule mama wawili!
 
mbwembwe zote zile za kutangaza kashindwa kuzihamishia kwa mkewe ili asikimbiwe,duuuh
 
Sum time dem mwenyewe kama kinyago wa mzee jangala,.
 
Atakavyohojiwa Central tupia Voice clip yake nisikie atakavyokuwa anajibu kama anavyoripoti....
 
Back
Top Bottom