George Marato awekwa chini ya ulinzi

George Marato awekwa chini ya ulinzi

Taarifa ambazo sijathibitisha zinasema kuwa mwandishi na ripota maarufu toka kanda ya Ziwa George Maratu amewekwa lockup baada ya kumkata kwa panga dereva taxi mmoja ambaye alimtuhumu kutembea na mkewe. Inasemekana pia ameichakaza taxi aliyokuja nayo dereva huyo kwa mapanga kiasi cha kuiharibu vibaya! Taarifa zaidi zinatonya kuwa kumekuwa na ugomvi kati yake na mkewe huyo kiasi kwamba leo mwanamke alimpigia simu dereva taxi anayetuhumiwa aje kumchukua na kumrudisha kwa wazazi wake ndipo yalipotokea masahibu hayo baada tu ya dereva taxi kufika kwa lengo la kumchukua mwanamke ambaye alisha-pack vyake!
Sasa nani atairipoti hiyo kutoka kwa" Joooooji Maratuuuuuu Ai Tiiiviiiii, Mmaraaaaamm!"
 
Huo ni udhaifu mkubwa sana ,katu siwezi kugombana na mwanaime kisa mwanamke,hawa wanawake wanamapungufu ktk akili zao dawa take ni kumwacha aende then akipigika ndo akili itajirudi na hakuna haja ya kumrudia tena.
 
Taarifa ambazo sijathibitisha zinasema kuwa mwandishi na ripota maarufu toka kanda ya Ziwa George Maratu amewekwa lockup baada ya kumkata kwa panga dereva taxi mmoja ambaye alimtuhumu kutembea na mkewe. Inasemekana pia ameichakaza taxi aliyokuja nayo dereva huyo kwa mapanga kiasi cha kuiharibu vibaya! Taarifa zaidi zinatonya kuwa kumekuwa na ugomvi kati yake na mkewe huyo kiasi kwamba leo mwanamke alimpigia simu dereva taxi anayetuhumiwa aje kumchukua na kumrudisha kwa wazazi wake ndipo yalipotokea masahibu hayo baada tu ya dereva taxi kufika kwa lengo la kumchukua mwanamke ambaye alisha-pack vyake!
mhhhhh mapenzi bhana, but tumezika mke wake nadhani sio zaidi ya mwaka na nilihudhuria mazishi yake i am not sure kama alioa tena or ni mpenzi tu? Ngoja nifuatilie ukweli wa taarifa hii because kuna watu wa karibu yake nawafahamu .
 
Kwa kweli, mimi faster tu, aende zake ili awe huru na huyo jamaa, yaani wanawake wote hawa hadi wanafika hatua ya kutembea uchi barabarani ili tu watushawishi eti nije kumng'ang'ania mmoja tu! Akwende huko!
Kabisa aende zake. Utaishia jela huku nyuma yule uliyemfanya alizaliwa kwa ajili yako ataendelea kupanua na wengine watazaidi kutamani.
 
mmmh mwanza tena,...Ishu za kuuana kwa ajili ya mapenz,mmerogwa aisee! ndani ya wk 2 tu,
 
Taarifa ambazo sijathibitisha zinasema kuwa mwandishi na ripota maarufu toka kanda ya Ziwa George Maratu amewekwa lockup baada ya kumkata kwa panga dereva taxi mmoja ambaye alimtuhumu kutembea na mkewe. Inasemekana pia ameichakaza taxi aliyokuja nayo dereva huyo kwa mapanga kiasi cha kuiharibu vibaya! Taarifa zaidi zinatonya kuwa kumekuwa na ugomvi kati yake na mkewe huyo kiasi kwamba leo mwanamke alimpigia simu dereva taxi anayetuhumiwa aje kumchukua na kumrudisha kwa wazazi wake ndipo yalipotokea masahibu hayo baada tu ya dereva taxi kufika kwa lengo la kumchukua mwanamke ambaye alisha-pack vyake!
criminal trespass
 
Mapenzi ni kitu kingine,huoni hata Mbowe anamwita Wema baby,wakati hajawahi mwita darling mkewe Liliane.Pole George naona ulitaka kuua kwa sababu ya mapenzi.
We binti huna mume
 
Kwa Mkurya chezea kitu ingine sio mke wake. Huyo Taxi driver amshukuru Mungu
 
Ni udhaifu mkubwa kumpiga mtu anayekuibia mpenzi wako. Ukiona unaibiwa, mchawi ni mpenzi wako-sio anayekuibia.
Wewe uantuhumiwa kutembea na mke wa Fulani, unaitwa na huyo mwanamke eti ukamchukue mbele ya mume wake umrudishe kwao, na wewe kimbelembele una kwenda bila kujiuliza. Ukichezea panga ni halali yako.
 
Back
Top Bottom