George Marato awekwa chini ya ulinzi

George Marato awekwa chini ya ulinzi

Kwani uliambiwa ni lazima kuwa na mme?By the way ninae mme wangu na hafanyi upuuzi kama wa Mbowe.
Kama huna mume kwa mila zetu unafanya nini duniani! huna mume una m.m.t.t.o.o.m.m.b.b.a.aj.j.i.i Bint mwenye mume wa ndoa hawezi kuandika kama ulivyoandika. Tulio kwenye ndoa huwa hatushabikii ujinga kama huo maana hujui kesho yako itaweza kuwaje!
 
Afungwe maisha yake yote au anyongwe kabisa na uwe mfano kwa wanaume wengine wanaopenda kuchukua hatua za kipumbavu ila ya kuwa na subira.
 
dunia ya leo unampga m2 mapanga kisa papuchi daaah kweli 2natofautiana sana
 
Wewe uantuhumiwa kutembea na mke wa Fulani, unaitwa na huyo mwanamke eti ukamchukue mbele ya mume wake umrudishe kwao, na wewe kimbelembele una kwenda bila kujiuliza. Ukichezea panga ni halali yako.
Unapiga mtu panga, unawekwa ndani wakati wenyewe wako huko wanaendelea na raha. Wewe huko ndani hutoki mpaka hela zikutoke na uliyemjeruhi umlipe au umbembeleze kesi isiende mahakaman ili usisimbuke na kesi ya mke ambaye tayari kakukimbia.

Ni lini watu weusi tutatambua kuwa mapenzi ni hiari? Mnadhani wazungu wanaopeana talaka kila siku na ndoa hazidumu miongo kama zetu ni wajinga?
 
Jamani hawa viumbe tuishi nao kama watoto wadogo, sio kama wakubwa wenzetu....!!. Tukiishi kama tunaishi na mkubwa mwenzio huko ndani...itakugharimu sana. Mm nashauri hawa wake bakora zihusike kama enzi za watangulizi wetu walivyokuwa wakiishi..(wahenga)
 
Kama huna mume kwa mila zetu unafanya nini duniani! huna mume una m.m.t.t.o.o.m.m.b.b.a.aj.j.i.i Bint mwenye mume wa ndoa hawezi kuandika kama ulivyoandika. Tulio kwenye ndoa huwa hatushabikii ujinga kama huo maana hujui kesho yako itaweza kuwaje!
Kuwa kwenye ndoa hakunizuii kuandika ninachokiamini,this is 21century bwana.
 
Oohh.... Kazi kweli mambo haya...
 
Unapiga mtu panga, unawekwa ndani wakati wenyewe wako huko wanaendelea na raha. Wewe huko ndani hutoki mpaka hela zikutoke na uliyemjeruhi umlipe au umbembeleze kesi isiende mahakaman ili usisimbuke na kesi ya mke ambaye tayari kakukimbia.

Ni lini watu weusi tutatambua kuwa mapenzi ni hiari? Mnadhani wazungu wanaopeana talaka kila siku na ndoa hazidumu miongo kama zetu ni wajinga?
Simaanishi Marato hana kosa, la hasha. Ila kama Marato umemuita dhaifu kwa kitendo chake basi naomba jina la dereva tax aliyejipeleka mwenyewe akijua ni mtuhumiwa mkuu.
 
Back
Top Bottom