Kama huna mume kwa mila zetu unafanya nini duniani! huna mume una m.m.t.t.o.o.m.m.b.b.a.aj.j.i.i Bint mwenye mume wa ndoa hawezi kuandika kama ulivyoandika. Tulio kwenye ndoa huwa hatushabikii ujinga kama huo maana hujui kesho yako itaweza kuwaje!Kwani uliambiwa ni lazima kuwa na mme?By the way ninae mme wangu na hafanyi upuuzi kama wa Mbowe.
