George Marato awekwa chini ya ulinzi

George Marato awekwa chini ya ulinzi

Ila Mama nae alichemka... Kumuita mchepuko aje ambebe,,,....!!!
img-20170604-wa0098-jpg.519253
 
Mke alitakuwa kutumia busara kwa kutumia usari mwingine si ile taxi ya mtuhumiwa huyo huyo tena angeweza hata kuweza kusababisha mauaji leo.

Suala la mahusiano ni suala nyeti sana na linategemea sana ubongo wa kila mmoja umeliweka wapi na kulia uzito gani.
 
Mbunye tamuuuu
We unawaza kua kafanya hivyo kwasababu ya mbunye,huyo kafanya hivyo kwasababu amekua akidharauliwa mtaani kua anatunza mwingine anamega nakumshushia heshima John,ukiwa na akili hizohizo ndiyo maana mnauawa,kwani hamkawii kuwaza kua 'kwani atakimaliza... acha anigonge tu...SISI wanaume tunawaza mengi tunapoibiwa.Kwa akili yangu sidhani kama John anaweza akakosa mbunye na umaarufu wake wote huu alionao hatakama huyo mama angeondoka,jaribuni kuridhika,muda mwingine mnatutisha hadi tunachelewa kuoa.
 
Mura, Tata!

Safi Sana Mr. Marato,,,

Yaani ni dharau kubwa mwizi wako kuja tena kumpeleka mkeo mahala tena kwa kumfuata nyumbani kwako ati anampeleka Kwa wazazi wa mkeo.

Hilo tu la kumfata nyumbani na taxi hata kama alikuwa kazini naona angemkata hadi vifanyio pumba.fu kabisa.
 
Taarifa ambazo sijathibitisha zinasema kuwa mwandishi na ripota maarufu toka kanda ya Ziwa George Maratu amewekwa lockup baada ya kumkata kwa panga dereva taxi mmoja ambaye alimtuhumu kutembea na mkewe.

Inasemekana pia ameichakaza taxi aliyokuja nayo dereva huyo kwa mapanga kiasi cha kuiharibu vibaya!

Taarifa zaidi zinatonya kuwa kumekuwa na ugomvi kati yake na mkewe huyo kiasi kwamba leo mwanamke alimpigia simu dereva taxi anayetuhumiwa aje kumchukua na kumrudisha kwa wazazi wake ndipo yalipotokea masahibu hayo baada tu ya dereva taxi kufika kwa lengo la kumchukua mwanamke ambaye alisha-pack vyake!
Huyo ni kada wa fisiem atatoka tu
 
We unawaza kua kafanya hivyo kwasababu ya mbunye,huyo kafanya hivyo kwasababu amekua akidharauliwa mtaani kua anatunza mwingine anamega nakumshushia heshima John,ukiwa na akili hizohizo ndiyo maana mnauawa,kwani hamkawii kuwaza kua 'kwani atakimaliza... acha anigonge tu...SISI wanaume tunawaza mengi tunapoibiwa.Kwa akili yangu sidhani kama John anaweza akakosa mbunye na umaarufu wake wote huu alionao hatakama huyo mama angeondoka,jaribuni kuridhika,muda mwingine mnatutisha hadi tunachelewa kuoa.
Mutajiju wenyewe muoe musioe
 
Wanaume wengi tumeoa machangudoa bila kujua umelistiri ndani lakini bado linawaza kutoroka kwenda kusuguliwa tigo na majizi ya Mademu za watu
 
Back
Top Bottom