SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Kada wa CCM na mwandishi wa kituo cha ITV mkoani Mara anayetambulika kwa jina la George Marato anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kufanya fujo na kuvunja vioo vya gari kama inavyoonekana kwenye picha.