Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,923
- 6,050
Njooni mumpike kama sio kumkaanga
Umewahi hata kuota kubahatisha ndani ya miaka 10 iliyopita? Timu ambayo haibahatishi inakuaje?Aliweka exception ya bahati nzuri.
Hiyo ni bahati tu.
muulize george jobUmewahi hata kuota kubahatisha ndani ya miaka 10 iliyopita? Timu ambayo haibahatishi inakuaje?
Mtusamehe Leo siyo siku ya kujibu maswali ,,Umewahi hata kuota kubahatisha ndani ya miaka 10 iliyopita? Timu ambayo haibahatishi inakuaje?