mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Caf confederation cup ni michuano ya wachovu!! Hata timu iliyotolewa mapema tu uko caf champions league, lakini akirudi kwa wachovu anafika fainali!!
Mashindano Yana fc Bamako , Rivers , mara Malumo ,sijui nini huko. Timu ambazo ukiwauliza hata wao wenyewe kwamba mlishawahi kuzisikia hizo timu tangu mmezaliwa nao watakwambia hatujawahi kuzisikia.Halafu wanakaza mafuvu " UTO NI TIMU BORA " mwaka huu.