Ila walokole mmh sijui huwa wakiingia kanisani akili zao wanazihifadhi kwenye mikoba like serious eti Mungu wetu sio masikini.. Hivi Yesu zaidi ya kupokelewa Yerusalemu kama mfalme alikuwa anaishi kifahari kama hawa wachumia tumbo wanavyo watesa waumini wao? hivi akina Elia,Elisha,Yeremia,Musa,Yohane Mbatizaji ,Petro,Paulo n.k walikuwa wanaishi kifahari hivi au walikuwa wanaubiri itajiri au ufalme wa Mungu.
Mtatoa Mifano eti Abrahamu, Daudi na Suleiman na Noah kuwa walikuwa matajiri bila kuona tofauti ya Mfalme, Mtume na Nabii.. Maana hata Herode enzi za Yesu alikuwa tajiri coz alikuwa mtawala.
Mifano mingi tu Yesu kaitoa kuhudu utajiri na kukemea na kuwasihi matajiri kuuza mali zao na kuwapa madikini, kuhusu tajiri kuingia ufalme wa mbingu, kuhusu kujiwekea hazina mbinguni hiku chini zitaliwa na nondo, na kisa cha tajiri na Lazaro masikini.