Geor Davie kwenye Sibuka tv

Geor Davie kwenye Sibuka tv

Hili nalo linahitaji shule kujua kuwa huyo ni mwizi wa fikra za watu na anatumia uj.inga wao kujiinua kimaisha

na aliyekamatwa fikra tu akaanza kusali kwake anaishi kwa matumaini sana kwamba atakuwa tajiri pia
 
acheni wivu bana...km wafuasi wake wameponywa wamepata baraka ktk biashara zao nakazi zao..wapi tatizo.?
 
Hakika ni mtumishi mwema na wengi ametutoa vifungoni..sina cha kumpa huyu mtumishi mwenye upako usio kifani
 
Hakina mtumishi mwema na wengi ametutoa vifungoni..sina cha kumpa huyu mtumishi mwenye upako usio kifani

Mtumishi mwenye upako aliyetelekeza wazazi wake! Aagh ninyamaze mie
 
hana jipya,ni tapeli km walivyomatapeli wengine,alivyofungua kanisa lake watu alituteka sn Arusha.Alikuwa km TB JOSHUA kwa Tanzania lakini aliharibu baada ya mama mmoja mwenye upako zaidi yake kumuumbua kuwa hana lolote anatumia nguve za giza ktk kuwaombea watu na alizipata Nigeria!!!hapo ndo ukawa mwisho wk,wkt fulani nikiwa Dodoma nikakuta amepangisha jengo pale mitaa ya NK karibu na maisha club,kuingia ndani nikawakuta watu wasiozidi kumi hv,nikasema ama kweli hakuna marefu yasio na ncha!!!
 
hana jipya,ni tapeli km walivyomatapeli wengine,alivyofungua kanisa lake watu alituteka sn Arusha.Alikuwa km TB JOSHUA kwa Tanzania lakini aliharibu baada ya mama mmoja mwenye upako zaidi yake kumuumbua kuwa hana lolote anatumia nguve za giza ktk kuwaombea watu na alizipata Nigeria!!!hapo ndo ukawa mwisho wk,wkt fulani nikiwa Dodoma nikakuta amepangisha jengo pale mitaa ya NK karibu na maisha club,kuingia ndani nikawakuta watu wasiozidi kumi hv,nikasema ama kweli hakuna marefu yasio na ncha!!!

Baambie baelewe bhana!
 
Huyu ni miongoni mwa manabii wengi wa uongo ambao wapo wakati huu wakifanya miujiza ya kila aina ila muda unakuja ambapo wataambiwa sikujui,ati mfuasi wa kristo kwa lipi?ila watu kama hawa lazima wawepo ktk kipindi hiki cha utawala wa ibilisi mtenda maovu ili neno litimie na neno la mungu ni la kweli
 
Huyu ni miongoni wa manabii wengi wa uongo ambao wapo wakati huu wakifanya miujiza ya kila aina ila muda unakuja ambapo wataambiwa sikujui,ati mfuasi wa kristo kwa lipi?ila watu kama hawa lazima wawepo ktk kipindi hiki cha utawala wa ibilisi mtenda maovu ili neno litimie na neno la mungu ni la kweli

Amen...
 
hv huyo GEOR DAV kwao ni wapi huko alipowatekeleza wazaz????labda ndo mashart aliyopewa huko Nigeria kuwa iliapate waumini wengi na wamuamini na wampe sadaka nyingi inabidi "AWATELEKEZE WAZAZI WAKE"@TATIANA
 
G5.jpg






G4.jpg







G6.jpg




g7.jpg





g8.jpg

Aseee..Hizi picha Zimenisikitisha sana...Watu wanahitaji Elimu ..

Hii ni hatari ..Hata kama ni kukata tamaa ya maisha...Huwezi kuwa zuzu kiasi hiki..

Unamuabudu Binadamu!!??
 
Aseee..Hizi picha Zimenisikitisha sana...Watu wanahitaji Elimu ..

Hii ni hatari ..Hata kama ni kukata tamaa ya maisha...Huwezi kuwa zuzu kiasi hiki..

Unamuabudu Binadamu!!??

Wakati Mungu anayewapa uhai hawamnyenyekei hivi
 
  • Thanks
Reactions: prs
kwanza mtumishi gn wa Mungu yeye anakuwa tajiri wa kupindukia huku waumini wake wanakufa na njaa???angalia utajiri wa huyo nabii wa uongo GEOR DAVIE,MZEE WA UPAKO,MAMA LWAKATARE,MCH.MWINGIRA NK. Hao wote ni matajiri wakutupwa,ndomana mimi naamini kuwa dini ni km biashara na wateja ni wauumini(hasa wanawake na masikini).Makanisa haya yamekuwa ni biashara(matangazo mengi kny TV).Kumiliki kanisa siku hz Ni sawa na kuwa na kiwanda yaani jinsi unavyoweza kuteka soko kwa namna yoyote ile ndivyo unavyojihakikishia kuwa Bilionare!!
ilishaandikwa katika vitabu vitakatifu kuwa "watakuja manabii wa uongo wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo ilihali ni chui,watawarubuni na kufanya miujiza km au zaidi yangu lakini msiwaamini........" Hivyo km unaimani thabiti juu ya unachokiamini huwezi kuyumbishwa na hao WACHUNGAJI NA MANABII MATAPELI km GEOR DAVIE,MAMA LWAKATARE,MZEE WA NGWASUMA/UPAKO,MCH.MWINGIRA NK.WAJINGA NDIO WALIWAO!!!
 
Back
Top Bottom