Geor Davie kwenye Sibuka tv

Geor Davie kwenye Sibuka tv

tatizo ni wivu, mwacheni,nabii mkuu afanye kazi ya mungu kwa viwango stahiki, mungu wetu siyo maskini, sijui wa kwako?
 
Aliwah kuja karatu na helikopta akapokolewa namagari yakifahari na escot yapolice nakutandikiwa red capet..ANATISHAAA

anatisha mbaya mwenyewe nimepigwa butwaa naona kama hizi mbwembwe zimezidi... myself niko hapa arusha japo sjafanikiwa kufika huko kanisani kwake...kwenye kip hapa anapuliza tu pumzi kwenye mic watu hao chini mapepo nafikiri.
helicopter yenyewe imekaa modern flani hivi kama mayai vile...
ila kuna haja gani ya kutumia helicopter toka hapo kwake kisongo kuja hapa shorprite???
im amazed kwa kweli ulinzi kama waziri...
 
tatizo ni wivu, mwacheni,nabii mkuu afanye kazi ya mungu kwa viwango stahiki, mungu wetu siyo maskini, sijui wa kwako?

Mungu wangu sio maskini...ila kwa upande wangu naona its too expensive hizo gharama angali ana waumini wenye hali za chini kama unavyojua maisha yetu.
 
Hivi hatuwezi kushindana kwa hoja bila kutukanana? Laiti tungejua kuwa matusi tunayoyatoa yanawaumiza watu wala tusingethubutu kutukana kabisa hapa!!!! Humjui hakujui mmekutana tu hapa JF tena none of us is a verified User, yet tunatukana tu.

Tuwe wastaarabu jamani!!!

mkuu,usmlaumu sio kosa lake,wengine wamelelewa na wauza gongo
 
Huyu jamaa kazidisha sna ukisiliz radio yake nwu radio masaa yote wanamsifia yy.watu singnda wanapend sna misifa kijinga

hata hapa kwenye tv wamemsifia sana tena wamezidisha
 
Hivi hatuwezi kushindana kwa hoja bila kutukanana? Laiti tungejua kuwa matusi tunayoyatoa yanawaumiza watu wala tusingethubutu kutukana kabisa hapa!!!! Humjui hakujui mmekutana tu hapa JF tena none of us is a verified User, yet tunatukana tu.

Tuwe wastaarabu jamani!!!

Sawa..
 
Huyu jamaa kazidisha sna ukisiliz radio yake nwu radio masaa yote wanamsifia yy.watu singnda wanapend sna misifa kijinga

Its a funny radio...Kuna wale watangazaji huwa kazi yao ni kuitikia na kucheka kila anachosema Geor Devie.
 
Jamaa anao mpaka Makadinali....Vyeo vyote hapa duniani ni vyake.

Baba/mheshimiwa/professa/Dk/Nabii mkuu Geor Davie...

Anaitwa baba mheshmiwa nabii geor davie au au his excellency father geor davie the prophet.mi nampenda kwa vituko vyake,yuko unique sana,msafara wake magari kama kumi ya kifahari,eskot ya difenda mbili za polisi,akiwa anatoka kisongo kuja twn,difenda ya polisi inatangulia kusafisha njia kisha anapita,mi nampenda kwa vituko.
 

Attachments

  • 1396472552679.jpg
    1396472552679.jpg
    4.7 KB · Views: 583
Back
Top Bottom