Geor Davie kwenye Sibuka tv

Geor Davie kwenye Sibuka tv

Unajua umasikini ni tatizo kubwa sn,na ni rahisi sn kumteka kimawazo,kifrika na kiiman mtu masikini kwasababu yy anachowaza ni shortcut ya maisha so akipata tapeli km huyo GEOR DAVIE ni rahisi kurubuniwa!!!
 
Unajua umasikini ni tatizo kubwa sn,na ni rahisi sn kumteka kimawazo,kifrika na kiiman mtu masikini kwasababu yy anachowaza ni shortcut ya maisha so akipata tapeli km huyo GEOR DAVIE ni rahisi kurubuniwa!!!

Lakini ni mbaya sana kucheza na imani za watu
 
watu nao hawakomi,nilikuwa arusha mwaka flani,walimtimua kwa utapeli hadi alihamisha makazi na huduma zk akahamishia dodoma ili awateke wanavyuo na waheshimiwa lakini akagonga mwamba,naona amerudi tena ww sikilizia watamkimbuka na kumtimua tena!!!!
 

duuuh!!yani huyu jamaa
ni shetwani kimachomacho kabisa
sijui kwa nn watu hawashtuki !!
 
Mimi nawashangaa watu haswa hawa wanaoitwa walokole wanashindwa kumwelewa huyu mtu ni mtata kama wasingida wenzake akina Mwigulu na Nape!!Ni washamba wa sifa na hawajui jinsi ya kuishi kwa hekima na hawana adabu!!mimi nafkiri Singida kuna shida kuliko tunavyofikiri

Umemtaja Madelu! Jamaa wanakuja sasa hivi kukutukana.
 
Back
Top Bottom