Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,749
hata hapa kwenye tv wamemsifia sana tena wamezidisha
Huyu ni mtoto wake. Anajiita 'Nisher bybee'
hata hapa kwenye tv wamemsifia sana tena wamezidisha
Huyu ni mtoto wake. Anajiita 'Nisher bybee'
Huyu ndiye nabii geor davie
Bila kusahau anawalinz wake 12 wanamlinda wamevaa suti nyeus na miwani yajua.msafara wake unakuwga n magari zaid yakumi
anaitwa baba mheshmiwa nabii geor davie au au his excellency father geor davie the prophet.mi nampenda kwa vituko vyake,yuko unique sana,msafara wake magari kama kumi ya kifahari,eskot ya difenda mbili za polisi,akiwa anatoka kisongo kuja twn,difenda ya polisi inatangulia kusafisha njia kisha anapita,mi nampenda kwa vituko.
jivunie mwenyewe tu sisi tunamjua ni tapeli anafanya mchakato wa kuandika biblia yake et nabii wa karne kweli wajinga ndio waliwaoHuyu n mtumish wa MUNGU,hakika tunakila sababu ya kujivunia saut hii ya MUNGU.
Huyo ni mmoja wa wachumia tumbo anae kula hela za wavivu wa kufikiri!
jivunie mwenyewe tu sisi tunamjua ni tapeli anafanya mchakato wa kuandika biblia yake et nabii wa karne kweli wajinga ndio waliwao
Ila walokole mmh sijui huwa wakiingia kanisani akili zao wanazihifadhi kwenye mikoba like serious eti Mungu wetu sio masikini.. Hivi Yesu zaidi ya kupokelewa Yerusalemu kama mfalme alikuwa anaishi kifahari kama hawa wachumia tumbo wanavyo watesa waumini wao? hivi akina Elia,Elisha,Yeremia,Musa,Yohane Mbatizaji ,Petro,Paulo n.k walikuwa wanaishi kifahari hivi au walikuwa wanaubiri itajiri au ufalme wa Mungu.
Mtatoa Mifano eti Abrahamu, Daudi na Suleiman na Noah kuwa walikuwa matajiri bila kuona tofauti ya Mfalme, Mtume na Nabii.. Maana hata Herode enzi za Yesu alikuwa tajiri coz alikuwa mtawala.
Mifano mingi tu Yesu kaitoa kuhudu utajiri na kukemea na kuwasihi matajiri kuuza mali zao na kuwapa madikini, kuhusu tajiri kuingia ufalme wa mbingu, kuhusu kujiwekea hazina mbinguni hiku chini zitaliwa na nondo, na kisa cha tajiri na Lazaro masikini.
Huyu n mtumish wa MUNGU,hakika tunakila sababu ya kujivunia saut hii ya MUNGU.