kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Huyu ni mtoto wake. Anajiita 'Nisher bybee'
nasikia ni punga huyo dogo.
Huyu ni mtoto wake. Anajiita 'Nisher bybee'
nasikia ni punga huyo dogo.
Hujamuelewa alichoandika...Umekurupuka....
Mkuu hapo ndio unaharibu, Yesu alikua nabii?nani amekudanganya kua nabii wa mwsho ni Yesu?umeitoa wapi hiyo mkuu. Kwa nini na wewe nisikuite nabii wa uongo aliekuja na mafundisho mapya ya uzushi,uongo kua yesu ni nabii wa mwisho?!
Wewe ndie mpu.mbavu,jamaa kumuita nabii geo inakuuma nini,wewe ni mke wake au mmechangia mwanaume,fanya yako,utakuja kuolewa,***** zako!
Mkuu Arusha tunatarajia kupata Biblia ya Geor Davie....
Anasema wakina Eliya ni Manabii wa karne hizo na mambo walilyoyafanya yameandikwa kwenye Biblia.....na sasa yeye ndiye Nabii wa karne ya 21 hivyo lazima mambo anayotamka yaandikwe....Kwahiyo tusubirie labda Biblia ikwa na vitabu vingine vya nyongeza.....
Yani anampaka Mithali zake...Maajabu haya..
Amefanya nini la kujivunia au sisi kumshukuru Mungu kwalo? simjui kama TB JOSHUA
Mkuu tedo kila nnaposoma comment zako nacheka sana, ukweli huyu mtumishi na ile redio, sauti ya ngurumo, inaacha mambo mengi ambayo ukizama kwenye tafakuri hukawii kung'amua mambo.
Really jamaa anaandika biblia yake,??, ikitoka ntaomba nakala yake.
Sent from my iPhone using JamiiForums app.
nashukuru mungu frequency za hiyo radio hazishiki huku mashambani niliko.
Inasemekana dogo ni njegere' maana mienendo yake inatia Shaka sana! Mfano mcheki hapa alivyokoleza lipustiki' midomoni..
Huyu n mtumish wa MUNGU,hakika tunakila sababu ya kujivunia saut hii ya MUNGU.
Hili nalo linahitaji shule kujua kuwa huyo ni mwizi wa fikra za watu na anatumia uj.inga wao kujiinua kimaishaJamaa anao mpaka Makadinali....Vyeo vyote hapa duniani ni vyake.
Baba/mheshimiwa/professa/Dk/Nabii mkuu Geor Davie...