Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
Nabii my foot,nabii awe na walinZi,nabii wa kweli haitaji walinzi watu,nguvu ya mungu yatosha,nabii alimuacha mke akaoa mke wa mtumishi wake?na mijitu bado inamtukuza eti nabiiii khaaaaaa
Kuna ulazima wa kumata kwa nguvu baadhi watu wanaojiita walokole na kuwapeleka Mirenbe wakatibiwe matatizo yanayowasumbua kwenye ubongo wao.Hivi hawa wasingida Geo dav, Mwigulu na Nape ni nani asiyejua wana mashetani ya kupenda sifa wakipata cheo chochote!!?Ni waropokaji balaa!!majivuno ndo usiseme!!Eti nabii mwanaume mzima mtu mzima anajichibua unasema kitu gani hapa!!wajinga ndio waliwao!!
Nabii my foot,nabii awe na walinZi,nabii wa kweli haitaji walinzi watu,nguvu ya mungu yatosha,nabii alimuacha mke akaoa mke wa mtumishi wake?na mijitu bado inamtukuza eti nabiiii khaaaaaa
Ndo babaake Nisher? Yule director wa video!
Unashangaa walokole tuu,shangaa hata wakatoliki wanaomuomba marehemu maria mama yake yesu na kuvaa mirozali ya maria na kumwabudu baba mtakatifu papa,shangaa wasabato wanaosoma vitabu vya elen badala ya biblia,
Anaitwa baba mheshmiwa nabii geor davie au au his excellency father geor davie the prophet.mi nampenda kwa vituko vyake,yuko unique sana,msafara wake magari kama kumi ya kifahari,eskot ya difenda mbili za polisi,akiwa anatoka kisongo kuja twn,difenda ya polisi inatangulia kusafisha njia kisha anapita,mi nampenda kwa vituko.
Is he traceable... say 20 years back? Can you do the needful?
Thanks in advance.
Huyu ni mtoto wake. Anajiita 'Nisher bybee'
Lakini nasikia huyu ni wanje...Maana huyu mke wake wasasa alimpora mtu...
jivunie mwenyewe tu sisi tunamjua ni tapeli anafanya mchakato wa kuandika biblia yake et nabii wa karne kweli wajinga ndio waliwao
Eti mtu anaandika Biblia yake hivi kila mchungaji akiandika Bible yake itakuwaje.... Yaulimwengu yatapita lakini neno lake litasimama.
Nabii my foot,nabii awe na walinZi,nabii wa kweli haitaji walinzi watu,nguvu ya mungu yatosha,nabii alimuacha mke akaoa mke wa mtumishi wake?na mijitu bado inamtukuza eti nabiiii khaaaaaa
Nabii my foot,nabii awe na walinZi,nabii wa kweli haitaji walinzi watu,nguvu ya mungu yatosha,nabii alimuacha mke akaoa mke wa mtumishi wake?na mijitu bado inamtukuza eti nabiiii khaaaaaa
Teh teh bora hao wanaamini wasivyoviona kuliko unavyoviona hata kwa macho tu bado unaamini hivi mchungaji anachukua mkeo au kuzaa nae bado unasema ni Nabii ooh Mtume acheni kukufuru Majina Matakatifu hayo hakuna nabii aliye kuja Baada ya Yesu maana yote yaliyotabiriwa na manabii yalitimizwa kwa ujio wa Yesu, Hata Paulo alikuwa Mtume.. ndo maana mkaletewa Roho Mtakatifu kuwaongoza kwanini muendelee kutukuza miungu watu.
Hivi hatuwezi kushindana kwa hoja bila kutukanana? Laiti tungejua kuwa matusi tunayoyatoa yanawaumiza watu wala tusingethubutu kutukana kabisa hapa!!!! Humjui hakujui mmekutana tu hapa JF tena none of us is a verified User, yet tunatukana tu.
Tuwe wastaarabu jamani!!!
Mkuu Arusha tunatarajia kupata Biblia ya Geor Davie....
Anasema wakina Eliya ni Manabii wa karne hizo na mambo walilyoyafanya yameandikwa kwenye Biblia.....na sasa yeye ndiye Nabii wa karne ya 21 hivyo lazima mambo anayotamka yaandikwe....Kwahiyo tusubirie labda Biblia ikwa na vitabu vingine vya nyongeza.....
Yani anampaka Mithali zake...Maajabu haya..