Ikiwa Nyerere aliwaunga mkono Biafra kwa sababu ya dini, ina maana waliokuwa wakiteswa walikuwa wakristu hivyo kkuwafanya wale walopigana dhidi yao kuwa Waislaam sio?.. Mkuu wangu nyie mnatazama vitu gani?... ndio maana Jasusi na wengine wamewaambia kuwa mnafanya makosa sana kuifikiria udini kwa sababu aliyekuwa rais wakati huo alikuwa Gowon sio Mkandara ama Ustadhi akitetea dini yake, huu udini mkuu wangu unatoka wapi?.
Pia wamekuwepo marais wengine ktk Federation hiyo ya Nigeria ambao ni Waislaam na wakristu lakini wote hadi leo wanapingana na kujitenga kwa Biafra kama tunavyopinga kujitenga kwa Zanzibar, na hivyo usitake kabisa kusema anayewaunga mkono Zanzibar lazima awe Muislaam na anafanya hivyo kwa mapenzi ya Usilaam - huu ni ufinyu wa kufikiri na hufanywa sana na watu wasiokuwa na Ilimu dunia, walopoteza imani na matumaini isipokuwa kumtafuta mchawi. Sitopenda kabisa kuamini kwamba ndivyo Ulivyo, mkuu wangu.
Tatu, labda niongezee kusema tena Biafra haikuwa wala sii sehemu ya wakristu ila ni jimbo la kabila la Waibo ilihali Nigeria kuna makabila mengine mengi tu wakristu ambao hawaishi ktk jimbo hilo la mashariki. Na usije fananisha kabisa Biafra na Sudan ya Kusini maana Wapo Wakristu wengi Nigeria ilobakia ndani ya Federation kuliko walokuwa Biafra, hivyo sielewi hii habari unaipata wapi kuwa Biafra ni ya Wakristu wakati yule Ojukwu hata kanisani alikuwa hapajui isipokuwa msituni kama kina Che. Pengine ukisema Ojukwu alikuwa Mjamaa kwa kutazama magwanda alokuwa akivaa, akitumia mbinu za Che na support kutoka nchi za Kijamaa hapo naweza kubaliana nawe hata kama hakuna ukweli huo maana vitu vingi vinashabihiana na ushabiki wa Ukomunist...
Mengine mkuu wangu nakuachieni kwa sababu sifikirii ndani ya box la udini kila siku. Natumia sana kipimo cha Uhuru, Haki na usawa na pale kimojawapo kinapokosekana huwaunga mkono wale waotoa madai yao na sii watu wanaotaka Uhuru wa nchi kwa jina lake japokuwa wao wenyewe wako huru, na wana haki sawa na wengine.
Unstoppable,
William hayuko sahihi. Na historia inamsuta. Mwalimu ameondoka mamlakani mwaka 1985. Poland na nchi za Ulaya mashariki zilitupilia mbali utawala wa kikomunist baada ya 1989. Wenzetu wamepiga hatua kubwa na huwasikii wakilalamika kama anavyofanya William and his ilk eti Mwalimu alifanya hiki au kile ambacho kiliturudisha nyuma. Angalia Ujerumani mashariki, wameacha kulalamika na ni mwendo mdundo mbele tu. Hawa waliokuja baada ya Mwalimu akiwemo na William na baba yake hawana vision kabisa. Wameshindwa kuendesha gurudumu la maendeleo sasa imebaki kumlaumu Mwalimu tu. Lakini historia inawasuta! Kama Mwalimu alishindwa wangetuonyesha ni wapi aliposhindwa na wao wamefanya nini kutuletea mafanikio. .
Mkandara kwa nini Biafra walikuwa wakipinga utawala wa wanajeshi Waislam?
Na yale mauaji ya watu milioni 2 yalisababishwa na nini?
Ritz1Mkandara kwa nini Biafra walikuwa wakipinga utawala wa wanajeshi Waislam?
Na yale mauaji ya watu milioni 2 yalisababishwa na nini?
Kwasababu ni masultan, na hawakutaka utawala wa kisultan, same as waliofanya mapinduzi ya Zanzibar, tatizo si uislam, ni usultan.Mkandara kwa nini Biafra walikuwa wakipinga utawala wa wanajeshi Waislam?
Na yale mauaji ya watu milioni 2 yalisababishwa na nini?
ritz, asingemsamehe, nchi ingeingia matatani, alikuwa na influence, especialy politicaly.Na ushahidi ni kabla na hata baada ya kufa.Hayo ni maneno ya kujifariji angekuwa anapendwa angekimbilia Ivory Coast?
Wakumshukuru ni Rais wa Nigeria kipindi hicho Shehu Usman Shagari, kumsamehe.
Kumbe Wlly wewe una majibu yako unayoyajua umekuja humu kutuchanganya tu mbona kila unachoambiwa hutaki? Umeambiwa reja vitabu umekataa umepewa taarifa ya aliyekuwepo siku Mwalimu alivyotoa uamuzi wa kuiunga mkono Biafra huku akijilaumu bado unapinga tu sasa unataka kwenda polisi au unataka jibu gani litakalofurahisha mtima wako?- Mkuu a very smart prepared story, swali ni kwa nini Tanzania tuliunga mkono waasi kujitenga, umeleta habari nyingi ambazo hazihusiki kabisa, unasema justification ni Mwalimu alitaka Rais wa Federation akae chini na waasi kujadiliana na a compromise ya katiba ya Federation under the gun, unasema kuna Rais Duniani anaweza kukubali hiyo? Yaani hoja zako ni so weak ingawa zimepangiliwa sana lakini ni very weak!
- Kusaidiwa na kina Kaunda ndio kunahalallisha kuunga mkono waasi wa Taifa lao? Then kwa nini Uingereza haikshiriki? I mean you are so manipulative unasema sababu ya mafuta ndio Uingereza wasadia kuprotect Federation, lakini sisi sababu ilikuwa ni amani tu, my God na tunaosoma tunatakiwa kuwa nini mkuu? Tumelala au what?
- Compromise wa MWalimu hata siku moja hamuwezi kukubali alipokosea, lazima mje na hadithi nyingi za ujanja ujanja, badala ya kukubali tu kwamba kwenye hiyo policy tulikosea na sio hiyo zipo nyingi sana tulikosea ndio maana mpaka leo Taifa linayumba yumba tu!
William.
Ni kwasababu ya visirani tu........visirani vinawafanya watu washindwe kufikiri.......na hata kuzuia ability ya kufikiri.......it is pathetic..........
Well said Jasusi, na mimi hapo penye red ndio ninajiuliza zaidi. Je toka Mwalimu aondoke walikua hawajashtuka ndio wameshtuka sasa au Mwalimu anafanywa a scapegoat?
- ha! ha! ha! yaani hoja zingine bwana, sasa visirani na pathetic hapa ni nani hasa? ha! ha! ha!
William.
Kwasababu ni masultan, na hawakutaka utawala wa kisultan, same as waliofanya mapinduzi ya Zanzibar, tatizo si uislam, ni usultan.
Sasa nyie misukule ndo hamjui utofauti,mnaenda kichwa kichwa tu mkiimbishwa kama kasuku, poor you!Pole sana.
Mkuu ritz narudia tena, tatizo halikuwa uislam, bali usultan, waislam wengine mnaunganishia tu, lakini usultan si uislam, naomba kusahihishwa.jmushi1.
Kabla ya ukoloni Nigeria ilikuwa na falme mbalimbali Kaskazini ilikuwa chini sultani za kiislam Kano na Sokoto...Kusini ilikuwa na falme za Benin, Ife na Oyo.
Naimani wewe unapenda kujua na kufahamu jaribu kuangalia historia ya Nigeria kwenye mjimbo yao Kebbi, Niger, Kaduna, Yobe, Borno, Zamfara, Kastina, Bauchi, Kano, kwa nini wanatumia Sharia.
Labda nikuulize mwaka 1966 sehemu ya jeshi la Nigeria walifanya uasi na wakamuua Waziri Mkuu Abubakar Tafawa Balewa, aliyekuwa na asili ya Kaskazini, kwa nini walifanya hivyo?
Ulishindwa kujenga hoja na kutia huruma kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa EAC.........sasa unaleta visirani na vioja.........haitakusaidia........hata kidogo.......
@ritz, kwanza nieseme kweli sikuelewi kabisa hapa. Lakini nadhani unachozungumzia ni mfululizo wa vita baina ya vyama na ushabiki ulotokana na mgogoro wa uongozi ndani ya chama cha Chief Awolowo - AG baada ya Shangari kuunda muafaka na chama hicho kwa kumteua Akintola kwa Premier wa jimbo lao.Mkandara kwa nini Biafra walikuwa wakipinga utawala wa wanajeshi Waislam?
Na yale mauaji ya watu milioni 2 yalisababishwa na nini?
Na wewe mkuu uko kwenye zamu ya wanaotesa sasa hivi?- Angeanza na kuongela hilo lijumba la Balali kwanza ndio aseme mengine ya binafsi za watu, kutesa ni kwa zamu zamu yao iliiisha sasa ni ya wengine ndio maisha!!!
William.
Na wewe utaendelea kuishi tu outside looking in. Muongo mkubwa wewe!- Angeanza na kuongela hilo lijumba la Balali kwanza ndio aseme mengine ya binafsi za watu, kutesa ni kwa zamu zamu yao iliiisha sasa ni ya wengine ndio maisha!!!
William.
Anachungulia tu huyu dirishani. Hawamfungulii mlango.Na wewe mkuu uko kwenye zamu ya wanaotesa sasa hivi?