Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

Gen Z wanapanga maandamano mapya ya Januari 29

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Daa Hawa vijana hawapoi, Baada ya D9 kufeli Gen Z wamefanya analysis na kuchagua siku ya alhamis ya tarehe 29 January 2026 kuwa siku ya maandamano ya kudai haki.

Wamechagua siku ya kazi, huu ni mtego kwa serikali maana maandamano siku ya kazi ni vigumu kuzuia movement za watu.

Na maandamano yanaua uchumi na utalii.

Any way ni J29

Aione
Wambura
Simbachawene.

Mto wa mbu
Illinois-USA
 
wavimba_20251210_062702_0000.png
 
Daa Hawa vijana hawapoi, Baada ya D9 kufeli Gen Z wamefanya analysis na kuchagua siku ya alhamis ya tarehe 29 January 2026 kuwa siku ya maandamano ya kudai haki.

Wamechagua siku ya kazi, huu ni mtego kwa serikali maana maandamano siku ya kazi ni vigumu kuzuia movement za watu.

Na maandamano yanaua uchumi na utalii.

Any way ni J29

AIone
Wambura
Simbachawene.

Mto wa mbu
Illinois-USA
No retreat no surrender
 
Achaneni na maandamano siku ya Public holiday.
Wanaosema D25 watafanikiwa.

Kwenye utawala wa Samia wakulima, wachimba madini, maji,wavuvi.. hatutoambulia kitu mpaka damu za watu Mo29 zilipwe.
 
Achaneni na maandamano siku ya Public holiday.
Wanaosema D25 watafanikiwa.

Kwenye utawala wa Samia wakulima, wachimba madini, maji,wavuvi.. hatutoambulia kitu mpaka damu za watu Mo29 zilipwe.
Kazi ipo walaqhi
 
Back
Top Bottom