Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,064
- 13,732
Karibu BukobaDah sijafanikiwa Kula mamba, nyati nimewahi nae mtamu sana
Karibu BukobaDah sijafanikiwa Kula mamba, nyati nimewahi nae mtamu sana
Bora uamini yupo uende na usimkute kuliko kuamini hayupo then unaenda unamkutaMkuu kweli mie ni mjinga
Twende kazi
1. mbingu ni nni
2. huyo yesu alikwenda mwaka gani huko mbinguni
(AD, au baada ya Gregorian calendar)
3. kwanini unaamini yesu yupo mbinguni
4. alitumia usafiri gani kufika huko
Mimi siamini kwamba yesu yupo mbinguni
a) sijawah ona mbinguni wala vielelezo vyake
b) yesu sijawahi mwona zaidi ya story na picha za yule mwingereza
Siwezi amini kitu ambacho sina supporting documents juu yake
Okey tuanzie hapa,wew tupe fact za kwamba nyongo ya mamba sio sumu...Nataka Biological journal au utafiti wenye uthibitisho kwamba nyongo ya mamba ni Sumu mtu akiinywa kwa njia yoyote nk. Full stop.
Na pia kama inawezekana leta ushahidi wa kihistoria kuonyesha watu fulani kwa wakati fulani walipata kufariki kwa kunywa, kula nk, Sumu ya mamba.
Nataka facts na sio maneno (fallacies) za mitaani.
Alafu hayana akiri unajua mnyama mla nyama kama simba ana IQ kidogo anaweza jua huyu binadamu akaTreat kama binadamu simalazote atamvamia malachache sana hata ukimfukuza anaweza kimbia ila hili mamba linachojua yeye kupiga Ambush kila kilichopo mbeleyake swala, binadamu, tembo, simba yeye linakuvamia tu fala ili na mwengine Chatu yeye ndio hana akili kabisa yeye anamekariri kila chenye uhai basi chakula chakula kwake.Kwa Mamba sawa kabisa wakiuwawa. Haya manyama yako harsh sana.
Swali zuri sana.Kwani sumu za aina nyingine haziwezi kuua kijiji kizima?
Mkojo wako sio sumu, je unaweza kuonja.Kaionje halafu utupe mrejesho
Kwa mantiki hii hata chatu nyongo yake sumu maana yeye anameza na mifupa yote anakunya mavi ausio.Acha ubishi,kwahiyo ushahidi unaotaka ni upi mkuu,kama hujawahi kuishi kwenye maeneo hayo tulia usibishe, ukitaka Google,ukweli sumu ya mamba ni zaidi ya hatari maana ukiwekewa robo ya tone tu unakufa, na ndio inayomsaidia kwenye digestion ya mavitu magumu kama mifupa,n.k.
Chatu mifupa huwa anaitapika yote.Kwa mantiki hii hata chatu nyongo yake sumu maana yeye anameza na mifupa yote anakunya mavi ausio.
Duuuh hatari na nusu
Imagine unanitumia mamba eti
Ya Mr.Kuku Umeisikia 😀😁😂Hii hadithi sijawahi kuisikia
Kwanini msamiati uwe 'nyongo ya mamba sumu' na si 'nyongo ni sumu' maana kama suala nyongo kila kiumbe anayo.Mimi nadhani kwa logic tu ya kawaida kuwa vitu vingi vichungu mara nyingi hua ni sumu hasa ukivi consume kwa kiwango kikubwa nadhani nyongo pia itakuwa sumu maana ni chungu kupitiliza
Hujawahi kuliweza hilo, kama mjinga mkubwa Mirza Ahmad Ghulam Allah amlaani, alishindwa wewe utaweza.Unasikia wewe mjinga-- kalulu, andaa uzi juu ya kupaa kwa Yesu (Issa bin Maryam as) mbinguni, wewe utoe ushahidi wa kupaa kwake na mimi nitatoa ushahidi kutokupaa kwake na hayupo mbinguni, kafariki kama walivyofariki mitume wengine wa Mungu. Ushahidi nitautoa kutoka ndani ya Qur'an.
Sasa kwanini kelele ziwe kwa mamba tu na si viimbe wengine.Kwan sumu ni nini, nyongo Kama nyongo ni sumu so hata nyongo ya mamba ni sumu
Wanazikaje kwa mfano? Sio kwamba inakaushwa kwa ajili yaaa.🚶Kubwa Kwenye Huyo Mnyama Anachunwa Ili Kutoa Nyongo Maana Hiyo Kitu Yake Ni Hatari
Wakitoa Nyongo Wanakwenda Kuichimbia Shimo Wanaizika.
Bahati Mbaya ni kuwa nyongo ya Mamba inaweza kuuwa hata Kijiji mfano mtu mbaya akaiweka kwenye tank la Maji. Ujue ukinywa tu Maji Bhalaa
Ukikaa ndani ya plane unahisi hakuna juu nyengine ndio huko.Mkuu acha kuniangusha
Kwa hiyo zinapo pita planes ndio mbinguni
Kwahiyo nyota ziko mbinguni mbona na wewe unachanya mambo.hapo ni angani
tofautisha angani na mbinguni
kama ndege zinapita mbinguni mbona hazizigongi nyota ?
sio kila kitu kinahitaji udhibitisho wa kitaalam, vingine udhibitisho wa kimazingira tu unatosha. Wanaoishi along rivers kama huku UGALLA RIVER Katavi hili tunalijua vizuri..Uongo mkubwa huo, ni wapi kitaalamu imeandikwa kwamba nyongo ya mamba ni sumu.
Leta majibu ya kitaalamu (biological facts) kuthibitisha hilo jambo.