Geita: Wananchi wafanikiwa kumuua mamba aliyeua wakazi 5 akiwemo mtoto wa darasa la 3

Uongo mkubwa huo, ni wapi kitaalamu imeandikwa kwamba nyongo ya mamba ni sumu.

Leta majibu ya kitaalamu (biological facts) kuthibitisha hilo jambo.
Bila shaka wew n mwanaume wa dar,mnajifanyaga mnajua kila ktu
 
Kuna watu wengine kubaki wajinga ni bora na salama katika uso huu wa Dunia

Hivi unadhani..... akili ndio kila kitu katika kupima majambo?!!!!
Kabisa na ndio mana kuna Dark Web, Sio kila informations ziwe accessible na kila mtu vingine acha vibaki classified siuna ona hata paper za Corona baki classified tu huko Wuhan kwenye labs kwanini wachina wasi publish tu na nyie mnaotegemea google kama credible source mjisomee, Kama Shirika kubwa kama WHO linaingizwa mkenge kwa kupewa taarifa za uongo kuhusu mode of transmission ya Convid19 leo mtu akikosa kitu kwenye hizo search engines ana conclude kuwa hakipo
 
Nilipata kukuonya kipindi fulani kwamba; Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) huyu ni nabii mfuasi wa Bwana wetu kipenzi chetu Mtukufu wa daraja mtume Muhammad (saw)--- kumkejeli mtu aliyetumwa na Allah kuja kuwaunganisha waisilamu na kuifanya uisilamu uzishinde dini zote kufanya hivyo ni kujitafutia laana, narudia tena; kufanya hivyo ni kujitafutia laana na wewe utakuwa wa kwanza kusalimika ukiendelea kumtusi na kumkejeli huyo mjumbe wa Allah Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as), ni watu wengi wamefedheheka na kudhalilika juu ya kumkejeli huyo mjumbe wa Allah, nakusihi tubu na omba maghfira mapema kabla haijawa too late.

Wenzako huwa wanaomba muongozo kutoka kwa Allah ili kujua ukweli wa madai ya watu basi nakuomba chukua nafasi hii kumlilia Allah akuongoze kujua ukweli wa Hadhrat Ahmad (as) kwani ni Allah pekee anayejua yaliyomo vifuani mwetu zaidi kuliko tunavyojijua sisi wenyewe.

Jiepushe na prejudice za maadui wa Hadhrat Ahmad (as), tafuta na fanya tafiti wewe mwenyewe huku ukimtanguliza Allah mbele kwa unyenyekevu na bila shaka Allah atakuongoza.

Nimeona niliseme hili kwanza kwasabu ni jambo kubwa.
Hakuna nabii baada ya mtume, acha ujinga. Mirza Ahmad Ghulam alikuwa mgonjwa wa akili, Allah amlaani.

Najua huna hoja kwa lolote juu ya itiqadi zenu za kufru za Ukadiani.
 
Mamba mbona mimi sijawahi kumuogopa je ni tatizo,?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekutana nae nchi kavu ambapo ni kama hana effect tu ila mamba kwenye maji ni habari nyingine kabisa, Kuna mamba wana uzito mpaka wa Tani moja hao ni Nile crocodiles nahisi ndio wa pili kwa strong bite force akitoka mwamba tiger, kama sijakosea
 
Umekutana nae nchi kavu ambapo ni kama hana effect tu ila mamba kwenye maji ni habari nyingine kabisa, Kuna mamba wana uzito mpaka wa Tani moja hao ni Nile crocodiles nahisi ndio wa pili kwa strong bite force akitoka mwamba tiger, kama sijakosea
Hivi unaijua bite ya kunguni mkuu.
 
Nilipata kukuonya kipindi fulani kwamba; Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) huyu ni nabii mfuasi wa Bwana wetu kipenzi chetu Mtukufu wa daraja mtume Muhammad (saw)-
Hakuna mfuasi wa mtume anae enda kinyume na mafundishovya mtume, itakuwa hujui maana ya mfuasi kijana.

Pili, uahmadiya ni zao la Waingereza kuuchafua Uislamu, sasa unaposema mfuasi wa mtume, unatakiwa uwe na adabu ya kutumia maneno na kuyaweka mahala pake.
- kumkejeli mtu aliyetumwa na Allah kuja kuwaunganisha waisilamu na kuifanya uisilamu uzishinde dini zote kufanya hivyo ni kujitafutia laana, narudia tena;
Hapa naandika ukweli na sikejeli hii. Historia ya Mirza Ghulami inaonyesha hakuwa sawa kiakili, pili haijulikani huo Uisla tu alisoma kwa walimu gani.

Wewe tuwekee tu ushahidi wa haya unayoyaandika, tunasema hivi hakuweza Mirza kufanya nyinyi ndiyo muhali kabisa.
Allah Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as), ni watu wengi wamefedheheka na kudhalilika juu ya kumkejeli huyo mjumbe wa Allah, nakusihi tubu na omba maghfira mapema kabla haijawa too late.
Nimecheka sana, naona mnaleta utani na hii dini.
Wenzako huwa wanaomba muongozo kutoka kwa Allah ili kujua ukweli wa madai ya watu basi nakuomba chukua nafasi hii kumlilia Allah akuongoze kujua ukweli wa Hadhrat Ahmad (as) kwani ni Allah pekee anayejua yaliyomo vifuani mwetu zaidi kuliko tunavyojijua sisi wenyewe.
Kwahiyo unataka niombe muongozo kwa Allah kumfata Ghulamu Ahmad ? Wakati Allah ameshaweka wazi kila kitu.
Jiepushe na prejudice za maadui wa Hadhrat Ahmad (as), tafuta na fanya tafiti wewe mwenyewe huku ukimtanguliza Allah mbele kwa unyenyekevu na bila shaka Allah atakuongoza.
Naona unaendelea kukufuru.

Sasa nifanye utafiti juu ya jambo ambalo liko wazi na linajulikana, ndiyo maana na nyinyi ni mazwa zwa kama alivyo mkubwa wenu. Yaani sawa sawa na unitake nifanye utafiti juu ya kuwepo jua, wakati jua tunaliona kila siku, haya ni matumizi mabaya ya akili na kupoteza muda. Wewe weka hoja zako.
Nimeona niliseme hili kwanza kwasabu ni jambo kubwa.
Jambo kubwa kwa sababu mnafanya kufuru na kuunajisi Uislamu ila si jambo kubwa kwa kusema kwenu Mirza Ghulamu ni nabii, sababu mnadhihirisha Ugonjwa wenu wa akili, na mnapata madhambi na mtakuja kuulizwa.
 
Alafu hayana akiri unajua mnyama mla nyama kama simba ana IQ kidogo anaweza jua huyu binadamu akaTreat kama binadamu simalazote atamvamia malachache sana hata ukimfukuza anaweza kimbia ila hili mamba linachojua yeye kupiga Ambush kila kilichopo mbeleyake swala, binadamu, tembo, simba yeye linakuvamia tu fala ili na mwengine Chatu yeye ndio hana akili kabisa yeye anamekariri kila chenye uhai basi chakula chakula kwake.
we jama kiboko. inaelekea humpendi Mamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenikubusha tukio flani jamaa wa Afrika Kusini walimkamata Limpompo river alikuwa na tabia ya kula mbuzi wao wanaofungwa pembezoni mwa mto kwa ajili ya malisho

Hawa ndugu wawili walichofanya wakamuwekea mtego wakamkamata wakaomba msaada kwa mshkaji wao wanakamfunga vizuri mdomo wakamkokota hadi magetoni

Walivomfikisha magetoni si wakamgeuza demu wao. Wahuni wamemtia mitungo sana yule mamba hadi mamlaka zilipopata habari zikafika pale

Mamlaka ya mambo ya wanyamapori wakafika pale wakawakamata jamaa kuwahoji jamaa wanajitetea kuwa walikuwa wanampa adhabu kwa uhalifu aliowafanyia na braza mkubwa akashauri kuliko kuwakamata wawapeleke hospital mdogo mtu na yule rafiki yao wawachunguze kama hawana maambukizi maana wakati yeye anatumia ndom hawa madogo walikuwa wanapiga dry.

Mamlaka zilowakuta na hatia ya kukutwa na nyara ya taifa bila kibali so wakatozwa faini na mamba akarudishwa mtoni
Duh kwahyo mamba alipigwa ukuni?duh duh duh
 
Hakuna mfuasi wa mtume anae enda kinyume na mafundishovya mtume, itakuwa hujui maana ya mfuasi kijana.

Pili, uahmadiya ni zao la Waingereza kuuchafua Uislamu, sasa unaposema mfuasi wa mtume, unatakiwa uwe na adabu ya kutumia maneno na kuyaweka mahala pake.

Hapa naandika ukweli na sikejeli hii. Historia ya Mirza Ghulami inaonyesha hakuwa sawa kiakili, pili haijulikani huo Uisla tu alisoma kwa walimu gani.

Wewe tuwekee tu ushahidi wa haya unayoyaandika, tunasema hivi hakuweza Mirza kufanya nyinyi ndiyo muhali kabisa.

Nimecheka sana, naona mnaleta utani na hii dini.

Kwahiyo unataka niombe muongozo kwa Allah kumfata Ghulamu Ahmad ? Wakati Allah ameshaweka wazi kila kitu.

Naona unaendelea kukufuru.

Sasa nifanye utafiti juu ya jambo ambalo liko wazi na linajulikana, ndiyo maana na nyinyi ni mazwa zwa kama alivyo mkubwa wenu. Yaani sawa sawa na unitake nifanye utafiti juu ya kuwepo jua, wakati jua tunaliona kila siku, haya ni matumizi mabaya ya akili na kupoteza muda. Wewe weka hoja zako.

Jambo kubwa kwa sababu mnafanya kufuru na kuunajisi Uislamu ila si jambo kubwa kwa kusema kwenu Mirza Ghulamu ni nabii, sababu mnadhihirisha Ugonjwa wenu wa akili, na mnapata madhambi na mtakuja kuulizwa.


Sitaweza kujadiliana nawe sio kwamba sina uwezo isipokuwa kadiri nitakapokuwa najadiliana nawe ndivyo "utakavyocharuka" kutukana, mimi sitaki kuwa chanzo cha wewe kumtukana mjumbe wa Allah.

Ila onyo langu kwako ni lilelile kwamba: wewe ndiye utakayekuwa mtu wa kwanza kusalimika utakapozidi kumtusi Hadharat Ahmad (as) masihi aliyeahidiwa, mfuasi wa mtukufu mtume (saw) na muanzilishi wa jumuiyya ya waisilamu wa Ahmadiyya.
 
Nyongo ya mamba ni sumu ila kuna namna yakuiandaa. Sasa sidhani kama mambo kama haya unaweza ukaletewa ovyo ovyo kwenye mitandao.
Nyogo ya mamba pamoja na ubongo wake ni hatari sana kwa binaadam, Wataalam wa wanyama wamesisitiza hilo wakati mamba huyo alipokua akichunwa ngozi,Hivi kumbe mamba wanaliwa?
 
Sitaweza kujadiliana nawe sio kwamba sina uwezo isipokuwa kadiri nitakapokuwa najadiliana nawe ndivyo "utakavyocharuka" kutukana, mimi sitaki kuwa chanzo cha wewe kumtukana mjumbe wa Allah.

Ila onyo langu kwako ni lilelile kwamba: wewe ndiye utakayekuwa mtu wa kwanza kusalimika utakapozidi kumtusi Hadharat Ahmad (as) masihi aliyeahidiwa, mfuasi wa mtukufu mtume (saw) na muanzilishi wa jumuiyya ya waisilamu wa Ahmadiyya.
Nasema hivi huna uwezo huo, na hili limedhihirika zaidi ya mara kadhaa humu ndani, unabisha jambo la kielimu ukibainishiwa hoja, unaishiwa unaana kutoa udhuru na unatokomea mazima.

Sasa sisi hatulei ujinga na upotofu wa kuichafua dini yetu ya Uislamu kwa ujinga wenu na kukosa maarifa.

Nakukanya tena na tena, ukiwa unajengs hoja kuhusu jambo fulani usiingize itikadi zenu za kufru katika mambo ambayo hayahusiani kama ulivyo fanya katika mada hii.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom