Sivan
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 923
- 1,222
Sio chatuMkuu kinachonishangaza chatu anameza mamba na nyongo yake!
Na chatu hafi!
Je ulisibitishaje kuwa ni sumu ?Mi sina haja ya kuonja sababu naijuwa.
Sio chatuMkuu kinachonishangaza chatu anameza mamba na nyongo yake!
Na chatu hafi!
Je ulisibitishaje kuwa ni sumu ?Mi sina haja ya kuonja sababu naijuwa.
Hata mimi mamba wa kwenye video sijawahi muogopa.
Mkuu una akili?!Unasikia wewe mjinga-- kalulu, andaa uzi juu ya kupaa kwa Yesu (Issa bin Maryam as) mbinguni, wewe utoe ushahidi wa kupaa kwake na mimi nitatoa ushahidi kutokupaa kwake na hayupo mbinguni, kafariki kama walivyofariki mitume wengine wa Mungu. Ushahidi nitautoa kutoka ndani ya Qur'an.
Itafute hiyo nyongo halafu uitumie then utatuletea ushaidi mwenyewe hapa.Hakuna watu masikini wa fikra kwenye hii mada kama wanaosema nyongo ya mamba ni sumu alafu wakiambiwa watoe ushahidi wanaleta blaablaa.
vijana wa google, hata hayo unayo taka ya biological fact ni watu waligundua. Tangu enzi kisiwa cha ukerewe nyongo ya mamba inatumika kuua (kwa mauaji ya kutegesheana kwenye vinywaji au chakula) na wenyeji wanatambua umuhimu wa kutokula ovyo au kuacha kinywaji wazi ukaenda chooni kama unauadui na mtu.Nataka Biological journal au utafiti wenye uthibitisho kwamba nyongo ya mamba ni Sumu mtu akiinywa kwa njia yoyote nk. Full stop.
Na pia kama inawezekana leta ushahidi wa kihistoria kuonyesha watu fulani kwa wakati fulani walipata kufariki kwa kunywa, kula nk, Sumu ya mamba.
Nataka facts na sio maneno (fallacies) za mitaani.
Ni mamba Pori au ni mjumbe wa uchaguzi mkuu?Kwa Mamba sawa kabisa wakiuwawa. Haya manyama yako harsh sana.
Nataka Biological journal au utafiti wenye uthibitisho kwamba nyongo ya mamba ni Sumu mtu akiinywa kwa njia yoyote nk. Full stop.
Na pia kama inawezekana leta ushahidi wa kihistoria kuonyesha watu fulani kwa wakati fulani walipata kufariki kwa kunywa, kula nk, Sumu ya mamba.
Nataka facts na sio maneno (fallacies) za mitaani.
vijana wa google, hata hayo unayo taka ya biological fact ni watu waligundua. Tangu enzi kisiwa cha ukerewe nyongo ya mamba inatumika kuua (kwa mauaji ya kutegesheana kwenye vinywaji au chakula) na wenyeji wanatambua umuhimu wa kutokula ovyo au kuacha kinywaji wazi ukaenda chooni kama unauadui na mtu.
je pia la nyongo ya mbuzi au ngombe ikipasuka kwenye nyama wakati wa kuchinja, inafanya nyama kuwa chungu pia tulete biological facts tumekuta katika jamii zetu na bado lipo.
Mkuu una akili?!
Nyongo ya mamba yaua watu 50 nchini MsumbijiKama nyongo ya.mamba ingalikuwa ni sumu, tayari ingeshaandikwa kitambo, mfano Uranium ni Radio active material, hiyo imeandikwa kitambo, sasa iweje nyongo ya Mamba isiandikwe katika scientific journals zozote dunia nzima???!!
Mnashindwa kujiuliza hata maswali madogo kiasi hicho?
Imani kwamba Nyongo ya Mamba ni sumu ipo miongoni mwa sisi black skinned people wala huwezi kusikia imani hiyo huko Canada na USA ambako pia kuna mamba (Alligators), shida zetu sisi ni imani za nguvu za giza ndizo zimetawala akilini mwetu sio kitu kingine, kuamini upumbavu na ujinga tu bila kufanya tafiti.
sio kila kitu kinahitaji udhibitisho wa kitaalam, vingine udhibitisho wa kimazingira tu unatosha. Wanaoishi along rivers kama huku UGALLA RIVER Katavi hili tunalijua vizuri..
Unaamini gregorian calendar lakini huamini kama yesu alishawahi kuwako 😂😂😂😂😂🚮🚮🚮🚮Mkuu kweli mie ni mjinga
Twende kazi
1. mbingu ni nni
2. huyo yesu alikwenda mwaka gani huko mbinguni
(AD, au baada ya Gregorian calendar)
3. kwanini unaamini yesu yupo mbinguni
4. alitumia usafiri gani kufika huko
Mimi siamini kwamba yesu yupo mbinguni
a) sijawah ona mbinguni wala vielelezo vyake
b) yesu sijawahi mwona zaidi ya story na picha za yule mwingereza
Siwezi amini kitu ambacho sina supporting documents juu yake
Hujawahi kuliweza hilo, kama mjinga mkubwa Mirza Ahmad Ghulam Allah amlaani, alishindwa wewe utaweza.
Wewe thibitisha, haya madogo sana hayahitaji uzi. Wewe thibitisha hilo, weka aya na utuonyeshe,ukiweza kufanya hilo kauli uangu mbiu ni ile ile, naacha kutumia hii ID, na wewe utakuwa shahidi wa hili.
Okey tuanzie hapa,wew tupe fact za kwamba nyongo ya mamba sio sumu...
Maana kusema huyo ni muongo kabla hujaomba akuridhishe kwa alichosema ni sawa na kusema unaujuwa ukweli hata kabla hujaomba uthibitisho.
Sasa usiseme hujui wakati ushasema yeye ni muongo mean kuna kitu unakijua.
Nazungumzia kupata mafunzo sio kuishi tuu kambini
Niitumie kwanini, kwani inamatumizi yoyote kwa binadamu ??Itafute hiyo nyongo halafu uitumie then utatuletea ushaidi mwenyewe hapa.
hebu elewa basi nyota zipo ulimwenguni ndio maana unazionaKwahiyo nyota ziko mbinguni mbona na wewe unachanya mambo.
Nani alisema nyota zipo mbinguni mimi au wewe maana mimi nimekuhoji baada ya kusema zipo mbinguni au hukuliona hilo ??hebu elewa basi nyota zipo ulimwenguni ndio maana unaziona
usiwe pimbi