Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,029
- 54,315
Hajui Vizuri Nyongo Ya MambaNina tone moja tuu hapa lete kikombe cha nyagi nikuchanganyie uonje just ni tone tuu usihofu
Anadhani Ni Kama Ya Kuku Vile
Hajui Vizuri Nyongo Ya MambaNina tone moja tuu hapa lete kikombe cha nyagi nikuchanganyie uonje just ni tone tuu usihofu
Nina tone moja tuu hapa lete kikombe cha nyagi nikuchanganyie uonje just ni tone tuu usihofu
Hajui Vizuri Nyongo Ya Mamba
Anadhani Ni Kama Ya Kuku Vile
Ni uzushi uliotapakaa na hasa huku Afrika mashariki na kati kwamba nyongo ya mamba ni sumu.
Na watu ukiwauliza kazi ya nyongo mwilini mwa viumbe hai ni ipi??!!-- wala hawajui.
Nyongo hata Binadamu, kuku, mbuzi nk, wanazo.
Kwanza Kazi ya nyongo ni nini????
watu wanasema nyonyo ya Mamba ni sumu ,wewe unadai hata binadamu anayo hivo hiyo ndio fact yako kwamba nyongo ya mamba sio sumu ? wenzio wamekuwa specific kwamba “nyongo ya mamba “ ni sumu wewe unaongelea story za nyongo ya binadamu dah