The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Yakishindwa kulana yenyewe kwa yenyewe yataanza kufumuana marindaWasalaam!! Halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Geita imewafukuza uachama makada 50 baada ya kuchangia kupungua kura za Rais Uchaguzi mkuu 2020. Hayo yamesemwa na bwana Masele ambaye alisema waliojitokeza kupiga kura ni 56,000 badala ya 100,000 jambo ambalo lilichangiwa na fitna za makada hao...