WanaJF leo niko mbali sana ya mji lakini kuna jamaa yangu kaniambia kama kawaida tena leo gazeti la RAIA MWEMA lilikuwa na habari isiyopendeza inayohusu kinachoitwa mgawanyiko ndani ya chadema kuhusu uchaguzi Igunga.
Na nimeelezwa kama kawaida yao wameiweka kwenye Habari kuu Front page.
Aliyesoma tafadhali atuthibitishie na kutueleza kilichoandikwa.
Na nimeelezwa kama kawaida yao wameiweka kwenye Habari kuu Front page.
Aliyesoma tafadhali atuthibitishie na kutueleza kilichoandikwa.