hilo ndio gazeti kongwe la chama cha mapinduzi..
my take; wanambip EL akiwapigia wasijeshindwa kupokea tu
Naona kama hili gazeti limekua kama mengine ya udaku manake kwenye web yao siioni hii taarifa au wanataka kuuzia gazeti???????????????Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.![]()
Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.![]()
hana tuhuma wala ufisadi ndiyo maana anatunzwa kama waziri mkuu mstaafu - only possible kwa serikali ya ccmHivi Liwassa ni mtuhumiwa wa mkataba wa Richmond au ufisadi? Ufisadi ni tuhuma nzito
Hivi Liwassa ni mtuhumiwa wa mkataba wa Richmond au ufisadi? Ufisadi ni tuhuma nzito
Tulishamwona cku ya jumapl amekaa high table. Alikuwa SCOAN kwa T.B Joshua.umejuaje kuwa ni lowassa wakati gazeti halijataja jina lake?