Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 457
Countdown hiyoooo
Ubabe wa EL unatokana na kuwa ndani ya gamba! Sasa gamba limeanza kumgeuka na kama likiendelea hivi litammaliza!lowassa hawezi kumalizwa na gazeti linalosomwa na watu alfu moja kwa siku... kashindwa kikwete na wanamagamba wengine kitaweza kijarida kama uhuru??
Magamba wanruka na kukanyagana!
EL, RUDI KAKA: KUNA WATU WANAKUBIP HUKU!
Lowasa ni Dola ndani ya Dola, Ngoja aupata Urais, kina Jk watakoma, mchizi atawachapa raba!
Naona WanaJF mnakubali sana Lowasa kuliko hata Mr Presidaaaa. Anyway, huyu Lowasa nguvu zake haswaaa zinatoka hadi aogopwe?
Me tooi will side to Lowassa when the issue of kuvuliwa gamba Excels
Umenena ndugu, haondoki mtu na wakimfukuza tu CCM ndiyo baba jeni bye bye --- Si rahisi the way NAPE na Makama wanavyofikiria.
Watu walishajipanga miaka mingi tu na ku invest as a project, sasa we leo hii kuupata ukatibu mwenezi eti unatamba -- ha ha ha. Siku 90 bado hazijaisha?[/QUOTE]
Nanogewa sana na mjadala huu. Yaani bado kuna watu wanatetea mafisadi? Inashangaza mno. Kumbe watu ni wanafiki kweli kweli
Umenena ndugu, haondoki mtu na wakimfukuza tu CCM ndiyo baba jeni bye bye --- Si rahisi the way NAPE na Makama wanavyofikiria.
Watu walishajipanga miaka mingi tu na ku invest as a project, sasa we leo hii kuupata ukatibu mwenezi eti unatamba -- ha ha ha. Siku 90 bado hazijaisha?[/QUOTE]
Nanogewa sana na mjadala huu. Yaani bado kuna watu wanatetea mafisadi? Inashangaza mno. Kumbe watu ni wanafiki kweli kweli
Mi nakushangaa wewe mama,gazeti kuandika Lowasa kwenda Nigeria limemmalizaje? kwanza lazima ujue huyu ni mtuhumiwa siyo fisadi na kama mtuhumiwa bado anazo haki zake zote za msingi 'Natural rights' na lazima ujue Lowasa hajawahi kusema yaliyomo rohoni siku akisema wewe na waliokutuma mtakaa kimya!Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.
Tulishamwona cku ya jumapl amekaa high table. Alikuwa SCOAN kwa T.B Joshua.
Naunga mkono na miguu hoja..............kaka hatutetei fisadi sisi, ila tunasema CCM haiwezi kujisafisha eti kwa kuwatimua mapacha 3, tunataka wote wenye tuhuma watoke hii ni pamoja na mwenye Kigoda... au na wewe ni mwanamagamba nini?
Kwa mimi navyojuwa au kuwa na ufahamu.......Kama mwizi anajulikana na kuna ushahidi kwamba ni mwizi.mara nyingi huwa huyo mwizi anatakiwa kuwa Kuzuizini au keshahukumiwa na anatumikia kifungo..........Sioni Sababu ya kumuita mtu fisad au mwizi wakati hakuna vielelezo........Watanzania wote ni Mafisadi........Mtu analipwa tsh500,000........ana Corolla .........kila siku anatumia mafuta tsh 10,000........ana mke na mtoto mmoja tu wala usimpe wengi........lakini huyu mtu maisha yanakwenda na akienda kwenye vikao vya harusi anatoa mchango tsh500,000.......Kama huyu si fisadi pesa kazitoa wapi wakati kijijini kwao hawana hata shamba ?Hivi Liwassa ni mtuhumiwa wa mkataba wa Richmond au ufisadi? Ufisadi ni tuhuma nzito
Umenena ndugu, haondoki mtu na wakimfukuza tu CCM ndiyo baba jeni bye bye --- Si rahisi the way NAPE na Makama wanavyofikiria.
Watu walishajipanga miaka mingi tu na ku invest as a project, sasa we leo hii kuupata ukatibu mwenezi eti unatamba -- ha ha ha. Siku 90 bado hazijaisha?[/QUOTE]
Nanogewa sana na mjadala huu. Yaani bado kuna watu wanatetea mafisadi? Inashangaza mno. Kumbe watu ni wanafiki kweli kweli