Gazeti la Uhuru lammaliza Lowassa

Gazeti la Uhuru lammaliza Lowassa

[B said:
fofofo[/B];2097903]Hivi Liwassa ni mtuhumiwa wa mkataba wa Richmond au ufisadi? Ufisadi ni tuhuma nzito
Bora uendelee kulala fofofo
 
Lowassa is our next president! Watanzania wapende wasipende, na JK asipokuwa makini hawezi maliza term hii.
 
Wana ccm aka magamba chekeleeni tu, lakini jamaa ndio kashika mpini wengine wote mmeshika makali sasa kazi kwenu, hakuna mjanja kati yenu zaidi yake, hata mkuu wa kaya.
Sure!The guy has nine lives,you wait and see..
 
Jamani huyu Lowassa muacheni tu akaombewe popote pale duniani hata kuzimu.
Haiwezekani mtu mmoja aingize mkenge watu zaidi ya milioni 40 alafu abaki salama.
Hata hapa JF ningependekeza tumfanyie maombi.
 
Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.
attachment.php
haina majoto
 
Ni vema wakatangulia kujiombea tu wao wenyewe na kutubu nafsi yao badala ya kukwea pipa mpaka Nigeria kwa ajili ya binadamu mwenzake mwingine kwenda kumwakilishia dhuluma zake kwa Wa-Tanzania mbele ya Mwenyezi Mungu.

Kwa hili hata ikitokea Mungu akachukia na kumcharaza viboke huyo fisadi kwa kutuma ujumbe kupitia mtu wa pili tena wa kuleeeeeeeee Nigeria, wala tusilaumu; hata ingalikua wewe hapo ungechukia utani kama huo wa Lowassa kwa muumba wake.

Hata hivyo, kwenye sala hizo nako alikikumbuka nacho Chama Cha Mapinduzi na Gazeti la Uhuru lenyewe nalo kuombewa??

Gazeti la CCM, Uhuru leo limechapisha habari hii, kuwa mtuhumiwa wa ufisadi alikwenda Nigeria kuombewa. naona limeanza kuwaandaman mapacha watatu, na hii ni ishara kuwa mkakati wa kuwatema uko jikoni.
attachment.php
 
Wana'magamba' wanaomwandama Mh. Lowassa nawaomba watutajie aliyesafi katika CCM. Wakiweza kumtaja na akathibitika kuwa yeye saafi. Basi waendelee kumyoshea vidole baba wa watu asiye na makuu kama wao. Naye Nape na Mukama wajue kelele zao hazimzuii mwenye nyumba (Mh. saaana Edward Lowassa) kulala. Ila JK ndiye anayekosa usingizi.
 
Lowassa is our next president! Watanzania wapende wasipende, na JK asipokuwa makini hawezi maliza term hii.

kweli kabisa, halafu EL Anavyojiamini utafikiri kweli watanzania wanaweza kumpa kura, watanzania tukisinzia tu Lowassa atauvaa uraisi
 
Wana'magamba' wanaomwandama Mh. Lowassa nawaomba watutajie aliyesafi katika CCM. Wakiweza kumtaja na akathibitika kuwa yeye saafi. Basi waendelee kumyoshea vidole baba wa watu asiye na makuu kama wao. Naye Nape na Mukama wajue kelele zao hazimzuii mwenye nyumba (Mh. saaana Edward Lowassa) kulala. Ila JK ndiye anayekosa usingizi.

Ghafla masupporter wa Lowassa mmejisahaulisha kabisaaa, kama mshirika wake mkuu kabisa kimkakati na kibiashara ni adui nambari moja wa watanzania, naye ni Rostam Aziz,... akichukua huyu Ikulu si ndo patageuka kijiwe cha kahawa cha Rostam,...ama kweli pesa mwanaharamu!
 
Kwali toka jamaa ajiuzilu miaka yote hakuna kitu ambacho kimefanyika zaidi ya Watu kucheka Cheka tu alikuwa Ana mchezo na kazi shule za kata zilitupunguzia sana vibaka na wasichana kuzalishwa ovyo na uhakika Kama angekuwepo shule zote zingekuwa na maabara na nyumba za walimu siku hizo zimekuwa gest bubu
 
Wacheni kumsingizia EL fisadi papa liko Magogoni mnaliogopa?
 
Kwali toka jamaa ajiuzilu miaka yote hakuna kitu ambacho kimefanyika zaidi ya Watu kucheka Cheka tu alikuwa Ana mchezo na kazi shule za kata zilitupunguzia sana vibaka na wasichana kuzalishwa ovyo na uhakika Kama angekuwepo shule zote zingekuwa na maabara na nyumba za walimu siku hizo zimekuwa gest bubu

Kumbe mpo wengi humu... Haya jioni njema, nilidhani tunajadili mustakabali wa taifa letu kumbe wengine mpo kazini... Au revoire!
 
wanageukana kuna ccm mwenzake atakuwa ameenda news room ya uhuru akanunua story ya kumkaanga Lowassa
 
Tatizo ni ukweli mnyonge mnyongeni mpeni haki Yake mpeni huo mtambo wa dowans mnaopigia kelele mbona wamechukua wanaume wa dunia hamuhoji hila wakichukua waarabu maneno kwa wazungu ni sawa wanafiki wa siasa za Maji taka tuwe. Na akili ya kugundua wanasiasa Sasa umeme tunaotumia ni wa dowans na rechmond zimeni Taa. Basi mkae gizani
 
Any move itayofanywa na CCM ya kumuacha au kunfukuza ndio itakuwa jeneza lenyewe. Watanzania tutabaki kuandaaa mazishi tu.

Magamba washachelewa kufanya lolote la maana. Wasi wasi wangu ni silaha yao mwisho ni ya kutumia kanisa na misikiti.
 
Back
Top Bottom