ngamiamzee
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 245
- 18
Watu wengine. Tunatumika adha kwa kujia au kwa kulipwa Chama changu nakubaliana kimeshindwa na ni wote kuanzia mkubwa mpaka ndogo ufisadi mkubwa upo juu na report ambayo inafichwa mpaka Leo pesa iliyoibiwa kwa muda wa miaka Sita ni bilion 870 nchi imefilisika na ni viongozi wa juu na pesa zipo kwenye baadhi ya nchi za kiafirika awapeleki Tena ulaya. Wanafichiana wakibwa ni Azimio la umoja wao