Gazeti la Nipashe: Posho za wafanyakazi ATCL ni kufuru, mabilioni yateketea

Habari.

Kwa wanaoshangaa wazo la waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba la kuja na tozo kwenye miamala ya simu ili aweze kupata fedha za kukamilisha miradi ya kimaendeleo wanaombwa kusoma gazeti la nipashe la leo limekuja na ripoti maalum ya upotevu wa mabilioni ya fedha kwenye shirika la ndege la ATCL kupitia posho mbalimbali wanazolipana wafanyakazi!
Kwa maana nyingine kuna upotevu mkubwa wa kodi na mapato mbalimbali yanayokusanywa na serikali hivyo Mwigulu hana mbadala mwingine zaidi ya tozo ili akamilishe miradi yote.View attachment 1867358
Ila kuna Watu mna logic za kijinga kweli....kwamba Wafanyakazi wanafisadi mapato ya Shirika badala ya kuzuia leakage ya mapato na kuwachukulia hatua wahusika, kwako solution ni Waziri wa Fedha kuongeza tozo ili waibe zaidi. Hivyo kabisa.
 
Ila kuna Watu mna logic za kijinga kweli....kwamba Wafanyakazi wanafisadi mapato ya Shirika badala ya kuzuia leakage ya mapato na kuwachukulia hatua wahusika, kwako solution ni Waziri wa Fedha kuongeza tozo ili waibe zaidi. Hivyo kabisa.
Wakikamatwa hao wezi, chadema ndiyo wa kwanza kuwatetea
 
Baadaye mnamlaumu mwendazake na kusema mandege Yana hasara haya. Tena yamenunuliwa kwa cash.

..kwani uongo?

..madege yanatia hasara.

..kama unabisha kamuulize Kagame aliyetushauri tuyanunue, yeye madege yake yamempa faida kiasi gani?

..Kagame amesalimu amri biashara ya madege kaamua kununuliwa na Waarabu wa Qatar.
 
Wakishafuja pesa huko option pekee inabaki kuwakamua Wananchi kwa kisingizio cha uzalendo.

Kwa nini uzalendo usianzie kwao kwa kuacha wizi na ubadhirifu?

Hakuna hoja yoyote ya uzalendo bali ni matumizi mabaya ya madaraka dhidi ya raia wa kawaida.
Huo ndiyo upumbavuu wa viongozi uchwara wa sasa baada ya kuwashughulikia mafisadi na ufujaji wa mali makalio yao yanawaza kuwanyonya masikini kweli jpm tutamkumbuka ,siyule alisema kunashimo kwenye mgodi wa tanzanite mbona hatuoni chochote kudhibiti ili kuongeza Mapato ya serikali badala yake ndiyo kwanza kaanza tena kutorosha makinikia kumnufaisha mzungu dhidi ya nchi yake mwenyewe
 
Mali za umma changamoto sana aiseee. Ingekuwa mali za mtu binafsi tungesikia haya? Mtu kachukua mkopo kanunua ndege za biashara halafu ndo umfanyie utaahira huu?
 
Safi sana rais Samia ingawa gaidi mbowe anafanya kila njia kukuchafua
Hizo chanjo wachanjwe chadema wote kwanza.
 
Haya ndio mambo ambayo rais anatakiwa ashughulikie sasa ni uchumi gani anao singizia kujenga wakati hela zinapigwa hivyo.

Aache kufukuzana na Chadema, huo ni ujinga, asifikiri siku zote atakuwa na tume ya uchaguzi ya kumuibia kura, historia inaweza ikaandikwa upya na akatumikia awamu moja tu.
 
Haya ndio mambo ambayo rais anatakiwa ashughulikie sasa ni uchumi gani anao singizia kujenga wakati hela zinapigwa hivyo.

Aache kufukuzana na Chadema, huo ni ujinga, asifikiri siku zote atakuwa na tume ya uchaguzi ya kumuibia kura, historia inaweza ikaandikwa upya na akatumikia awamu moja tu.
Kwa hiyo chadema hata wakiwa magaidi wasiulizwe?
 
Haya ndio mambo ambayo rais anatakiwa ashughulikie sasa ni uchumi gani anao singizia kujenga wakati hela zinapigwa hivyo.

Aache kufukuzana na Chadema, huo ni ujinga, asifikiri siku zote atakuwa na tume ya uchaguzi ya kumuibia kura, historia inaweza ikaandikwa upya na akatumikia awamu moja tu.
Wewe maza hana mpango wa kugombea akimaliza muda wake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom