Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,333
- 7,486
Mwendawazimu kweli ,kwani uongo.Zaa hiyo mimba ya mwendakuzumu mbwa wewe
Mwendawazimu kweli ,kwani uongo.Zaa hiyo mimba ya mwendakuzumu mbwa wewe
Lile ni red dev......Sitosahau ile siku Mwendazake aliyopokea gawio toka ATCL na kutuaminisha kuwa shirika linaingiza faida kumbe linaingiza hasara kwa miaka 5
Lini usimamizi ulikaza!?Ndiyo hapo sasa, usimamizi umelegalega
Ingekuwa enzi ya Magufuli hilo gazeti lingeona kila rangi. Aisee kweli Jamaa kaenda zake!Habari.
Kwa wanaoshangaa wazo la waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba la kuja na tozo kwenye miamala ya simu ili aweze kupata fedha za kukamilisha miradi ya kimaendeleo wanaombwa kusoma gazeti la nipashe la leo limekuja na ripoti maalum ya upotevu wa mabilioni ya fedha kwenye shirika la ndege la ATCL kupitia posho mbalimbali wanazolipana wafanyakazi!
Kwa maana nyingine kuna upotevu mkubwa wa kodi na mapato mbalimbali yanayokusanywa na serikali hivyo Mwigulu hana mbadala mwingine zaidi ya tozo ili akamilishe miradi yote.View attachment 1867358
Mpango anawaenzi wafu, alianza Chato, Sasa yupo Lupaso nadhani next destination itakuwa MwitongoHabari.
Kwa wanaoshangaa wazo la waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba la kuja na tozo kwenye miamala ya simu ili aweze kupata fedha za kukamilisha miradi ya kimaendeleo wanaombwa kusoma gazeti la nipashe la leo limekuja na ripoti maalum ya upotevu wa mabilioni ya fedha kwenye shirika la ndege la ATCL kupitia posho mbalimbali wanazolipana wafanyakazi!
Kwa maana nyingine kuna upotevu mkubwa wa kodi na mapato mbalimbali yanayokusanywa na serikali hivyo Mwigulu hana mbadala mwingine zaidi ya tozo ili akamilishe miradi yote.View attachment 1867358
mleta mada ungepiga picha hiyo habari tuisome kwanza ndio tuchangie.Kuchangia kwa kutumia kichwa cha habari peke ake wengine inakuwa ngumu kidogoHabari.
Kwa wanaoshangaa wazo la waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba la kuja na tozo kwenye miamala ya simu ili aweze kupata fedha za kukamilisha miradi ya kimaendeleo wanaombwa kusoma gazeti la nipashe la leo limekuja na ripoti maalum ya upotevu wa mabilioni ya fedha kwenye shirika la ndege la ATCL kupitia posho mbalimbali wanazolipana wafanyakazi!
Kwa maana nyingine kuna upotevu mkubwa wa kodi na mapato mbalimbali yanayokusanywa na serikali hivyo Mwigulu hana mbadala mwingine zaidi ya tozo ili akamilishe miradi yote.View attachment 1867358
Sitosahau ile siku Mwendazake aliyopokea gawio toka ATCL na kutuaminisha kuwa shirika linaingiza faida kumbe linaingiza hasara kwa miaka 5
Kwa hili lazima alaumiwe sana. Utanunuaje mandege bila business plans kwanzaa?. Hii mianya yote kuiba pesa za umma kwa njia ya makaratasi kuharalisha wizi ilitakiwa izibwe kwanzaBaadaye mnamlaumu mwendazake na kusema mandege Yana hasara haya. Tena yamenunuliwa kwa cash.
Kuna busness plan ya kulipana posho?Kwa hili lazima alaumiwe sana. Utanunuaje mandege bila business plans kwanzaa?. Hii mianya yote kuiba pesa za umma kwa njia ya makaratasi kuharalisha wizi ilitakiwa izibwe kwanza
Uandishi wako ni kichefuchefu hata hueleweki unataka nini?Habari.
Kwa wanaoshangaa wazo la waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba la kuja na tozo kwenye miamala ya simu ili aweze kupata fedha za kukamilisha miradi ya kimaendeleo wanaombwa kusoma gazeti la nipashe la leo limekuja na ripoti maalum ya upotevu wa mabilioni ya fedha kwenye shirika la ndege la ATCL kupitia posho mbalimbali wanazolipana wafanyakazi!
Kwa maana nyingine kuna upotevu mkubwa wa kodi na mapato mbalimbali yanayokusanywa na serikali hivyo Mwigulu hana mbadala mwingine zaidi ya tozo ili akamilishe miradi yote.View attachment 1867358
Ndiyo hapo sasa, usimamizi umelegalega
Hayo maposho si kipind cha huyo mwendakuzimu au
Hayana akili kabisa Mkuu....Ndio hivyo halafu CAG ataleta report hasara ya billion 60 kwa mwaka
Na Mazuzu yanazidi kuishangilia serikali ya kipumbavu kama hii.