Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.

Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)

demonocracy-gold-1_ton.jpg
Ok .... kwani mizani za Tanroad zinapima uzito au ujazo? ....

enjoy your day
 
Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.

Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)

demonocracy-gold-1_ton.jpg
Ushaambiwa tani sasa unakuwa na akili kuwa TANI MOJA ya chuma ni nzito kuliko TANI MOJA ya manyoya.

Kumbe huko kwingine huwa unakisia tu
 
Kiswahili ni lugha pana na ngumu kuielewa.Mh.Raisi lugha aliyoitumia ya mafuso na landrover moja ni kutolea mfano kwa Wananchi waliyo wengi wapate kuelewa KINADHARIA ni nini haswa,Kwa mazoea tuliyozoea ya mtu wa Kawaida.Ndipo hapo ukiulizwa kilo moja ya pamba na jiwe ipi nzito,Kisha uje uangalie volume.Jaribuni kuwa waelewa
 
Nilimsikia Mh. Raisi lakini sikuelewa vizuri ana maanisha ujazo au ana maanisha tukitaka kuisafirisha mfano itabidi tuweke ktk magari yenye kuhimili vipimo vile vya uzito. Yaani tungeweka ktk gari mbili za tani 7 na mzigo mwigine tungeweka ktk pickup.
 
Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Nadhani 'kujaza lori' walimaanisha kufikia maximum capacity ya ubebeaji wa lori , na capacity ya ubebaji wa lori hupimwa kwa uzito (weight) sio ujazo (volume)
 
Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.

Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)

demonocracy-gold-1_ton.jpg
Lorry la tani saba litabebaje mzigo uliozidi tano 7 Huko si kutakuwa ni kufuata standard ulizowekewa? Kilicho ongelewa ni kwa kufuata viwango sio siasa au uswahili
 
Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Marandu, I am very conversent with units-- metric units. Naelewa what it relly means by density!.. cubic centimeter moja ya mercury ina uzito wa 13.5 grams!
Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Nakupata vizuri! being a chemist and physicist!
 
Nashukuru Marandu kwa maelezo yako ila tueleweshe kidogo weye mtaalam. Huo uzito huwa unapungua kutokana na density au? Nadhani mkuu alikuwa anamaanisha kuwa, ili kuibeba huyo dhahabu tani 15, ungelihitaji fuso 2 zigawiwe uzito wa tani 7 kila moja. hata kama ukubwa wa mzigo ni kama mikate 4 ya boflo na hiyo baki hata kama ni ndogo kama skonzi moja ndio ingesafirishwa na p/up. Kama sio hivyo, nielimishe mkuu wala usichoke
 
Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Yaani unachomaanisha hapa ni kwamba Fuso moja haiwezi kubeba kipande cha dhahabu chenye kipimo cha 1M x 1M x 1M? Kwa maana ya Fuso ya tani 7!?
 
Nadhani 'kujaza lori' walimaanisha kufikia maximum capacity ya ubebeaji wa lori , na capacity ya ubebaji wa lori hupimwa kwa uzito (weight) sio ujazo (volume)

Aliyesema haya sio picha aliyotaka Kuiweka akilini kwa Mwananchi mwananchi wa kawaida!
 
Back
Top Bottom