Bahimba
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 510
- 346
Ahahahaaaaa......!!!Kizunguzungu mtindo mmoja.
Phd holder ndio alituambia hivyo!!!!
Halafu yeye anawashangaa wenzie eti ni maprofessor gani!!
Ahahahaaaaa......!!!Kizunguzungu mtindo mmoja.
Phd holder ndio alituambia hivyo!!!!
Halafu yeye anawashangaa wenzie eti ni maprofessor gani!!
Ok .... kwani mizani za Tanroad zinapima uzito au ujazo? ....Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Ushaambiwa tani sasa unakuwa na akili kuwa TANI MOJA ya chuma ni nzito kuliko TANI MOJA ya manyoya.Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Aliyesema ni mwalimu wa kemia na fisikia Nipashe ndo kabisaaaHayo alisema Rais, sasa unaposema hivi then ujue unasema ....... wamepotosha vikali
Nadhani 'kujaza lori' walimaanisha kufikia maximum capacity ya ubebeaji wa lori , na capacity ya ubebaji wa lori hupimwa kwa uzito (weight) sio ujazo (volume)Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Lorry la tani saba litabebaje mzigo uliozidi tano 7 Huko si kutakuwa ni kufuata standard ulizowekewa? Kilicho ongelewa ni kwa kufuata viwango sio siasa au uswahiliKwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Ninyi ni majinga flani hiviKizunguzungu mtindo mmoja.
Phd holder ndio alituambia hivyo!!!!
Halafu yeye anawashangaa wenzie eti ni maprofessor gani!!
Marandu, I am very conversent with units-- metric units. Naelewa what it relly means by density!.. cubic centimeter moja ya mercury ina uzito wa 13.5 grams!Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Nakupata vizuri! being a chemist and physicist!Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Yaani unachomaanisha hapa ni kwamba Fuso moja haiwezi kubeba kipande cha dhahabu chenye kipimo cha 1M x 1M x 1M? Kwa maana ya Fuso ya tani 7!?Ujazo my friend! Gold density is 19,320kg/M³ Maana yake ni kuwa Kipande cha dhahabu chenye urefu wa futi Tatu, upana waFuti tatu na kina cha futi tatu, kina Tani 19. Ukitaka kulinganisha uzito ingekuwa ni maji unahitaji Pipa Lenye ukubwa wa Mara 19 zaidi ya Kipande hiki ili uweze kulijaza Tani 19 za Maji.
Hata Nipashe wamezungumzia uzito siyo ujazomadini ni mazito.
Nadhani 'kujaza lori' walimaanisha kufikia maximum capacity ya ubebeaji wa lori , na capacity ya ubebaji wa lori hupimwa kwa uzito (weight) sio ujazo (volume)