residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,531
- 13,458
Honest NgowiHV, yule prof alie pondwa jana na Rais ni nani? Naomben msaada.
Honest NgowiHV, yule prof alie pondwa jana na Rais ni nani? Naomben msaada.
Taifa la ajabu lenye watu wanaoshabikia kuibiwa na kushangilia kuwa ombaomba. Katika hili Watanzania wote tunapaswa kuungana dhidi ya WIZI ambao umekuwa ukifanyika wa raslimali zetu badala ya kubeza. Unaweza kuja kukuta tumeibiwa zaidi ya hiyo iliyobainishwa jana kwenye ripoti. TUWEKENI ITIKADI ZA VYAMA PEMBENI, HUU NI WAKATI WA KUWA WATANZANIA.Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.
Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.
Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.
![]()
Pengine ni yule muongo!!!HV, yule prof alie pondwa jana na Rais ni nani? Naomben msaada.
Mlipaswa kuwa Wazalendo mlipokowa Mnasaini Mikataba huku mkituzomea "wembe ni Ule ule" Nani aliyesaini Miswada hii ya Madini sio ninyi washenzi mnaojifanya kulia leo?Taifa la ajabu lenye watu wanaoshabikia kuibiwa na kushangilia kuwa ombaomba. Katika hili Watanzania wote tunapaswa kuungana dhidi ya WIZI ambao umekuwa ukifanyika wa raslimali zetu badala ya kubeza. Unaweza kuja kukuta tumeibiwa zaidi ya hiyo iliyobainishwa jana kwenye ripoti. TUWEKENI ITIKADI ZA VYAMA PEMBENI, HUU NI WAKATI WA KUWA WATANZANIA.
Kwenye hili naona mkuu upo upande wa acacia. Hongera mkuu hiyo ndo demokrasia
anahisi mmeingizwa chaka na mnashangilia! dhahabu nyingi kiasi hicho! hebu muwe mnafanya kajiutafiti kabla ya kushangilia basi!Sijaona unachobishia
Kubali umechemka ndio uungwana huo.Wewe na Mimi hatutofautiani, hicho Kipande Kidogo cha Dhahabu au hivyo vipande Ingots chache za Dhahabu bado utahitaji Lori Lenye Capacity kubwa Tonage kuibeba. Lakini aliyetoa amaelezo Ni wazi alitaka Kuweka Picha kwa Wananchi kuwa ni Dhahabu ya Kujaza Malori Mawili na Ushee! Kwani angezingatia Nature ya Uzito wa Dhahabu, angejua kuweka kwa wananchi inabebwa na Malori Mangapi ingepotosha na To be honest Dhahabu hiyo inabebwa na Meli, Treni au Lori halikuwa na Maana lengo lilikuwa Kuchora picha ya Uwongo!
Sasa mkuu mwandishi ulitaka aandike rais amedanganya au alitakiwa aandike ya vipi?Siyo kukariri tu nawe mwandishi ungechanganya na zako katika habari. Ripoti ile imepotoshwa kwa asilimia zaidi ya 80 kwa vile waandishi wetu mbali na kutojua masuala ya madini, hawakujipa muda kuitafakari.
What are you talking about!Kubali umechemka ndio uungwana huo.
Leo ndio unajua mnaibiwa, Mlipokuwa Mkisaini Mikataba kwa mbwembwe, na kashfa juu hamkujua! Leo ndio mnajifanya sazalendo? CCM mliuza Nchi Period!Ebu acheni ujuha bwana sisi tunaibiwa na tumeibiwa sana hilo ndo la msingi. Swala la kiasi gani tunaibiwa litakuja baadae ata kama ni senti 1 chamsingi tunaibiwa. Ni bora kulikuza alimradi hatua stahiki zichukuliwe kuliko kulidogodesha kuondoa dhana nzima ya kuchukua hatua
On this Mr.President the true patriots of this Nation we are behind you
Wewe siyo mtanzania. Na kama wewe ni mtanzania unatumiwa na hao wahuni. Wewe subiri tu dawa yenu inachemka. Baada ya kumalizana na mabwana zenu tunawageukia nyie wasaliti.Mlipaswa kuwa Wazalendo mlipokowa Mnasaini Mikataba huku mkituzomea "wembe ni Ule ule" Nani aliyesaini Miswada hii ya Madini sio ninyi washenzi mnaojifanya kulia leo?
Andika kiswahili acha kujifanya mzungu wakati wewe niweusi tii.What are you talking about!
Nukuu pia inapotoshwa?Kwenye Gazeti La Nipashe leo ambalo link naiweka Wamedai kuwa Dhahabu inayokuwa kwenye Makontainer 227 ni Takriban Tani 15 Za Dhahabu. Na kwa Mbwembe nyingi wakasema kuwa Kiasi hicho cha dhahabu kinajaza Malori ya Fuso Mawili na Pickup Moja.
Ambalo wamelisahau ni Density ya Dhahabu, Dhahabu ina Density ya 19,320 Kg/M³ hii ina maana Mita moja ya Ujazo wa Dhahabu ni Tani 19.32 sasa hii ni zaidi ya Tani hizo 15. Ukweli ni kuwa ingawa utahitaji Lori la Tani angalau 20 kubeba Tani 15 za Dhahabu, ujazo wake ni kama Pipa moja tu la maji. (Less than 1 M³)
Pia Nipashe wamejaribu Kuchanganua Tsh, Trilioni 294 ambazo Kwa Miaka 17 dhahabu kusafirishwa nje zingepatikana.
Hata Kama Kweli kulikuwa na Dhahabu ya Kiasi hicho, Hapo kuna Gharama za Usafishaji, Nishati Usafirishaji nk. Na kisha baada ya grarama zote kuondolewa ndipo kuna kiasi Kinabakia, hicho ndicho Kinalipiwa Kodi, Kodi ambayo Kwa Mbwewe CCM waliwasamehe. Kinachobaki ni Royalty na sijui ilikuwa ni asilimia 7 au 2 sasa Hizo Trilion 294 Ambazo wanawahadaa nazo Watanzania Ziko wapi. Wow ingekuwa hata Hiyo dhahabu inachimbwa na Migodi ya Umma na 100% ya dhahabu Tunaipata na Kuuza Sisi wenyewe bado Kungekuwepo na gharama ya Mishahara, Nishati, Usafirishaji Uwakala wa amasoko etc. Bado tusingepata hicho kinachoitwa Trillion 294. Iweje Upigie Mahesabu ya aina hii kwa Migodi Binafsi.
Au Watuambie hizo Trillion 294 ni 7% tu ya Royalty! Wow Itakuwa Tanzania kuna dhahabu Kuliko Mchanga wa Bahari basi.
![]()
Kila kitu unaleta siasa za maji taka!? Yaani upumbavu wako unaonekana wazi wazi. Hivi huyu Sumaye si ndiyo yupo huko CHADEMA!? Mbona unaleta siasa za kipumbavu. Kama huna cha kuongea ni bora ukakaa kimya siyo kuleta upumbavu wazi wazi.No kwenye hili Nasema CCM waliuza Nchi kwa mikataba ya kishenzi, Na kwa mbwewe mkawatukana Akina Myika na Tundu Lisu, Myika Mlizuia hata kuhudhuria Vikao vya Bunge! Washenzi na Bado baadhi yenu Physically mtanyanyuliwa, mmelikoroga kunyweni wenyewe sisi kwa sasa Tutameza Mate!