KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
mi nadhani amekata tamaa ya urais, kaamua kuwa mjasiriamali kwa ku invest tanzania pesa alizoiba,hiyo ni nzuri,ndugu zetu kina balile na manyerere watapata kazi,atalipa kodi,atamsaidia rais kutengeneza ajira "milioni moja" na kukamilisha ile ndoto yao ya miaka mingi ya kuwaletea maisha bora kwa kila mtanzania