Nani kakwambia tunalisubiri kwa shauku kubwa,wewe kama unatangaza ,tangaza tu hayo mambo ya kulazimishana huko hukoHabari nilizozipata usiku huu ni kwamba gazeti mnalolisubiri kwa shauku kubwa liitwalo JAMHURI linalomilikiwa na EL nitaingia mtaani Jumanne hii. Anzeni kupata toleo la kwanza hadi mfikie hatua ya ku-judge kama linampigia debe kweli EL kwa 2015, linampigia debe kwa 2012 CCM chaimanship au kuna jingine nyuma ya pazia. Tahadhari: USINIULIZE SOURCE PLZ
Heh heh hizo kura za maoni zimefanyika wapi ,lini na chombo kipi cha utafiti.Kura za maoni ya kuwa raisi au kuwa fisadi hebu tuhabarilsheni huku Likurufusi bado halijafika hilo gazeti huenda tutapata baada ya wiki ,ngoja nibofye kwenye kasimu kangu sijui kama lipo online.Hizi mbio za Magogoni balaa ni kwa udi na uvumba,kuna dili gani hukoNi gazeti zuri sana na wamelipa rangi safi sana kwa mbele. Nimeliona leo na watu wanaligombea sana kwa kweli. Kichwa cha habari kinasema ''LOWASSA AONGOZA KURA ZA MAONI''
Huyu Jacton mbona anauharibu na kuutia aibu ukoo wa Nyerere yaani kufundishwa kote na Nyerere leo anakuwa kama mpiga filimbi wa HamelinKujiuliza kama litampigia debe au la ni kuuliza the obvious. Mmiliki ni yeye, wahariri au waandishi ni Manyerere jackton na Deodatus Ballile. Unategemea nini hapo?
Ni gazeti zuri sana na wamelipa rangi safi sana kwa mbele. Nimeliona leo na watu wanaligombea sana kwa kweli. Kichwa cha habari kinasema ''LOWASSA AONGOZA KURA ZA MAONI''
Habari nilizozipata usiku huu ni kwamba gazeti mnalolisubiri kwa shauku kubwa liitwalo JAMHURI linalomilikiwa na EL nitaingia mtaani Jumanne hii. Anzeni kupata toleo la kwanza hadi mfikie hatua ya ku-judge kama linampigia debe kweli EL kwa 2015, linampigia debe kwa 2012 CCM chaimanship au kuna jingine nyuma ya pazia. Tahadhari: USINIULIZE SOURCE PLZ
Ni gazeti zuri sana na wamelipa rangi safi sana kwa mbele. Nimeliona leo na watu wanaligombea sana kwa kweli. Kichwa cha habari kinasema ''LOWASSA AONGOZA KURA ZA MAONI''
hebu acheni ku-promote magazeti ya kuwashia majiko ya kuni
why you people like these kind of bad publicity na vitu vilivyotengenezwa kwa faida ya wachache??
Hapo kwenye red huo si ndo mpambe no.Wa RA?Nilikuwa nalipitia Gazeti jipya la kila wiki la JAMHURI ambalo nakala yake ya kwanza imetoka leo. Gazeti hili linalodaiwa kumilikiwa na waandishi nguli Deodatus Balile na Manyerere Jackton limekuwa likipigiwa upatu kwa muda mrefu kwamba litakuwa bora na hata kauli mbiu yao ni kwamba "Tunaanzia wanapoishia wengine" inaashiria hilo.
Kilichojitokeza katika pitia yangu ni kwamba gazeti hili halijaja na kitu kipya au chochote kinachoakisi weledi wa uandishi na ubobevu wa wamiliki wake. Habari zimeendelea kuwa ni nyepesi, na character assassination ya wale wanaochukuliwa kwamba ni maadui wa wenye magamba imeendelezwa. Kwa ujumla "layout" ya gazeti hili na hata maudhui yake yanafanana sana na gazeti la Mtanzania na pengine ni sahihi kwamba wao wameanzia pale yanapoishia magazeti dada ya gazeti hili, nikimaanisha Mtanzania na Rai.
Kwa haya niliyoyaona humu, ni dhahiri kwamba kumbe misitu tu ndiyo imebadilika lakini nyani ni wale wale.