Gavana Balali Ajiuzulu!

Re: KLHN Breaking News - Gavana Balali Ajiuzulu!

--------------------------------------------------------------------------------


Nyani Ngabu soma hapa.. Lakini nadhani sidhani kama huo mjadala unaouleta una maana yoyote katika hii mada. Na hii headline ndio iliyopasua jipu, japo inawezekana wote, Halisi na Hasara walikua wakijua kwa hakika kabisa kuhusu Kujiuzulu (Kujiuzuliwa) kwa Ballali.

 
http://www.klhnews.com/

Ukibonyeza hiyo link inakupeleka kwenye tovuti ambayo haifanyi kazi. Sasa aliyeleta taarifa hapa ni Mwanakijiji. Je, Mwanakijiji amebadilisha jina na sasa anajiita KHLN?
 
Naona waheshimiwa mmeanza ku deviate pole pole... anyway, nadhani hili linasameheka, maana wengi tayari mna suffer from eyestrain na wengi tuko tormented na impact ya story na jinsi inavyo ji-unravel..

SteveD.
 
http://www.klhnews.com/

Ukibonyeza hiyo link inakupeleka kwenye tovuti ambayo haifanyi kazi. Sasa aliyeleta taarifa hapa ni Mwanakijiji. Je, Mwanakijiji amebadilisha jina na sasa anajiita KHLN?

nyani.. haya basi ninabadili jina ili liandane na habari.. samahani kwa kukwaza.. sasa ulipopendekeza tuweke JF Breaking News.. mimi nimemuwa JF? au tuweke tu Mwanakijiji Breaking News?
 
http://www.klhnews.com/

Ukibonyeza hiyo link inakupeleka kwenye tovuti ambayo haifanyi kazi. Sasa aliyeleta taarifa hapa ni Mwanakijiji. Je, Mwanakijiji amebadilisha jina na sasa anajiita KHLN?

Ha ha ha, mambo ya UTATU MKEREKETWA hayooo.. the existence of a threesome state, each and every component is dependent of the other two.... And there goes Mkjj, (KIJIJINI-LEO-HII), maana kwenye kijiji kuna wana kijiji, na mmojawapo ni Mwanakijiji... So Nyani, can you really separate these three?! 🙂

SteveD.
 
Hakuna ninachofanya au nitakachofanya ambacho kitakuwa sahihi.. ni kutafuta makosa juu ya makosa na yakipatikana makosa basi yaangaliwa kuona kama kuna makosa ndani ya makosa hiyo. Which means, I have to lose! so I admit it nimefanya makosa. Tuendelee kumzungumzia Balali.
 

Hahahaha....Merry Christmas my friend (au kama hiyo haijakupendeza...Happy Holidays). Umeshafanya shopping lakini au wewe ni wale wa dakika za majeruhi?
 
Oh, nimepitwa bonge la breaking news,

Ila jama sasa hela zetu?? yaani akijiuzuru ndo basi?? ama hatua kari zinafuata kutokana na ubadhirifu alio ufanya ama alioruhusu ufanyike kwa dhamana alo kuwa nayo?

Ngoma si tatizo.. wengi wanayo na wanadunda.. tunachotaka ni hela yetu! Tunahitaji jua nini kilitokea ili tupate pa kuanzia kudai kilicho chetu! hata kwa kuvuana mashati tumechoka jama!
 

We wa Musoma nini...maana hizo R....mmhhh
 
PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE KIBINADAMU...MPAKA HAPO WENGI WATAKAPOGUNDUA ...DAUDI BALALLI ATABAKIA KUWA MMOJA KATI YA MAGAVANA WAZURI AMBAYO NCHI HII IMEPATA KUWA NAO...

.

I very much doubt this. If this is truly the case, then hatujawahi kuwa na gavana mzuri, wote walikuwa bomu. Badala ya kulinda pesa za walipa kodi, yeye aliamua kusimamia wizi wa hizo pesa halafu ndio leo wewe unasema alikuwa moja kati ya magavana wazuri. This is terribly disgusting!
 
1. Kwa sasa apigane tu na maradhi aliyokuwa nayo- tuzidi kumwombea apate nafuu ili aihudumie familia yake.

2. Hata mke wa Dr. Idris Rashid alipofariki kwa ugonjwa wa kukonda sana 1999 watu walisema ni ngoma- ila hadi leo Dr. Rashid yupo TANESCO na bado tu anadunda!
 
kwa wale wanaotaka kufanya ujasusi kwa simu tumia hii kitu hapa.

salamasms ina encypt msg kabla ya kuituma na anayepokea lazima awe na password uliyotumia msg jinsi ya kuweka kwenye simu yako fuata maelezo kwenye site

www.hostj2me.com/wmluser/a_minde Kisha click kwenye "sms salama"

so wale wanaopata shida kuwasiliana na bongo ukishaweka hiyo salamasms kwenye simu yako na unayemtumia lazima aweke, then wote laazima mpeane password vinginevyo hatoweza kufungua hiyo msg.
 

Huenda huyo Dr. Idris Rashid anayo (alikuwa nayo) kinga kama ile ya wale malaya wa Mombasa, ambao walikuwa hawadhuriki kwa hiyo 'ngoma' huku wengine wakipukutika. Kuna wachache hawashikiki; lakini huwezi jua; mpaka ufanye majaribio. Naye Zuma je, alikuwa nayo kinga, ama aliviwahi vijamaa na kuvioshelea mbali?
 

Hii stunt ya shower should not be tried at home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…