Gari za umeme pasua kichwa gharama za uendeshaji

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
622
1,643
Habari wapendwa. Ni wazi dunia inapigana kuhakikisha gari za umeme ndio zinatawala kwa hoja ya kuwa rafiki na mazingira. Licha ya yote bado hizi gari ni changamoto hasa inapopata damage.

Tuchukue mfano kesi ya hivi karibuni huko Vancouver, mmiliki wa Hyundai Ioniq 5 ya mwaka 2022 alipata ajali iliyopelekea cover plate ya battery pack kubonyea na kuharibu battery lakini body haikuwa hata na mchubuko.

Gari hii thamani yake ni $41,245 mpaka $55,745 ikiwa mpya lakini Bill ya kubadilisha betrii alipewa $60,000. Aliporipoti katika shirika la bima la ICBC(Insurance Corporation of British Columbia) waliiandika gari kama haitengenezeki kwa sababu matengenezo yamezidi thamani ya gari.

Professor mmoja huko Marekani anasema, " hizi gari watu wanazinunua bila kujua ukweki lakini thamani ya battery pekee ni 30% ya bei ya gari, kwamba kama utatoa milioni 100 basi battery ikifa andaa milioni 30+ au zaidi kwani huenda ukaambiwa ubadili na battery management system. Watu mliowahi kununua injini za gari za mafuta nadhani mtaelewa hapa kwenye battery na engine kipi nafuu.

Tukiangalia Tesla Cyber truck baytery yake inauzwa $20,000 lakini bado kuna battery la $16000 linajulikana kama range extender au reserve. Jumla ya battery pekee ni $36,000 zaidi ya milioni 80 za kitanzania na unatakiwa baada ya miaka 10 hadi 20 ubadili battery kulingana na matumizi yako.

Hitimisho: Hizi gari sizioni Afrika leo wala kesho kutwa.
 
Habari wapendwa. Ni wazi dunia inapigana kuhakikisha gari za umeme ndio zinatawala kwa hoja ya kuwa rafiki na mazingira. Licha ya yote bado hizi gari ni changamoto hasa inapopata damage.
Tuchukue mfano kesi ya hivi karibuni huko Vancouver, mmiliki wa Hyundai Ioniq 5 ya mwaka 2022 alipata ajali iliyopelekea cover plate ya battery pack kubonyea na kuharibu battery lakini body haikuwa hata na mchubuko. Gari hii thamani yake ni $41,245 mpaka $55,745 ikiwa mpya lakini Bill ya kubadilisha betrii alipewa $60,000. Aliporipoti katika shirika la bima la ICBC(Insurance Corporation of British Columbia) waliiandika gari kama haitengenezeki kwa sababu matengenezo yamezidi thamani ya gari.
Professor mmoja huko Marekani anasema, " hizi gari watu wanazinunua bila kujua ukweki lakini thamani ya battery pekee ni 30% ya bei ya gari, kwamba kama utatoa milioni 100 basi battery ikifa andaa milioni 30+ au zaidi kwani huenda ukaambiwa ubadili na battery management system. Watu mliowahi kununua injini za gari za mafuta nazani mtaelewa hapa kwenye battery na engine kipi nafuu.
Tukiangalia Tesla Cyber truck baytery yake inauzwa $20,000 lakini bado kuna battery la $16000 linajulikana kama range extender au reserve. Jumla ya battery pekee ni $36,000 zaidi ya milioni 80 za kitanzania na unatakiwa baada ya miaka 10 hadi 20 ubadili battery kulingana na matumizi yako.
Hitimisho: Hizi gari sizioni Afrika leo wala kesho kutwa.
Hapo kuna propaganda za Warabu na Hammas wao!! Yaani 30% ya 55k iwe 60k?? How??
 
Habari wapendwa. Ni wazi dunia inapigana kuhakikisha gari za umeme ndio zinatawala kwa hoja ya kuwa rafiki na mazingira. Licha ya yote bado hizi gari ni changamoto hasa inapopata damage.
Tuchukue mfano kesi ya hivi karibuni huko Vancouver, mmiliki wa Hyundai Ioniq 5 ya mwaka 2022 alipata ajali iliyopelekea cover plate ya battery pack kubonyea na kuharibu battery lakini body haikuwa hata na mchubuko. Gari hii thamani yake ni $41,245 mpaka $55,745 ikiwa mpya lakini Bill ya kubadilisha betrii alipewa $60,000. Aliporipoti katika shirika la bima la ICBC(Insurance Corporation of British Columbia) waliiandika gari kama haitengenezeki kwa sababu matengenezo yamezidi thamani ya gari.
Professor mmoja huko Marekani anasema, " hizi gari watu wanazinunua bila kujua ukweki lakini thamani ya battery pekee ni 30% ya bei ya gari, kwamba kama utatoa milioni 100 basi battery ikifa andaa milioni 30+ au zaidi kwani huenda ukaambiwa ubadili na battery management system. Watu mliowahi kununua injini za gari za mafuta nazani mtaelewa hapa kwenye battery na engine kipi nafuu.
Tukiangalia Tesla Cyber truck baytery yake inauzwa $20,000 lakini bado kuna battery la $16000 linajulikana kama range extender au reserve. Jumla ya battery pekee ni $36,000 zaidi ya milioni 80 za kitanzania na unatakiwa baada ya miaka 10 hadi 20 ubadili battery kulingana na matumizi yako.
Hitimisho: Hizi gari sizioni Afrika leo wala kesho kutwa.
Sio mchezo.
 
Unazungumzia kuponda tu, ila hakuna anaekas na gari miaka kumi hata la mafuta likiwa zima, lazima litahitaji heavy matengenezo.

Kumbuka pia kuna gari cheap nyingi tu za umeme sasa, wachina wanaleta gari za $15k za umeme, and with time price ya battery itashuka sana bei.
 
Nchi za ulaya na US ni kawaida sana matengenezo ya gari kuwa gharama kubwa, hasa US, unakuta hata hizi crown athlete za 2005 mfano (sina uhakika kama US wanatumia athlete, ni mfano natoa kwa hizi cheap vehicles), gari pendwa za vijana matengenezo ya kawaida ni $5000 au zaidi, ndio maana US watu wanatupa sana gari na watu wengi tu wanaokota gari, mtu anaona ya nini kutumia gharama hii yote bora anunue used mpya 😂, imebidi nijicheke eti used mpya.

Hio $5000 au $7000 ya matengenezo bongo unapata chuma nzuri tu kwa dalali wa instagram au mtaani.

Usitizame tu gharama ya battery utakayokuja badili miaka 20 baadae, je ume calculate inaokoa gharama kiasi gani kwa kutotumia mafuta huo muda wote?

Cha mwisho ni teknolojia mpya imeingia, lazima itakuwa ghali, lakini soon hizo gari na vifaa vyake itakuwa gharama nafuu sana, ni kama upepo wa simu smart zilipoingia au flat screen TV, lakini hivi sasa hizo flat TV hadi wauza alkasusu mujarab huku mtaani unakuta wamewafungia wateja kutazama taarifa ya habari.

Kwa makadirio 2030 kwa sababu companies nyingi zimetangaza kuacha kutengeneza combustion engines, kuna uwezekano hizi gari za umeme tutaanza kuziona mtaani kwa wingi. Am sure.
 
Habari wapendwa. Ni wazi dunia inapigana kuhakikisha gari za umeme ndio zinatawala kwa hoja ya kuwa rafiki na mazingira. Licha ya yote bado hizi gari ni changamoto hasa inapopata damage.
Tuchukue mfano kesi ya hivi karibuni huko Vancouver, mmiliki wa Hyundai Ioniq 5 ya mwaka 2022 alipata ajali iliyopelekea cover plate ya battery pack kubonyea na kuharibu battery lakini body haikuwa hata na mchubuko. Gari hii thamani yake ni $41,245 mpaka $55,745 ikiwa mpya lakini Bill ya kubadilisha betrii alipewa $60,000. Aliporipoti katika shirika la bima la ICBC(Insurance Corporation of British Columbia) waliiandika gari kama haitengenezeki kwa sababu matengenezo yamezidi thamani ya gari.
Professor mmoja huko Marekani anasema, " hizi gari watu wanazinunua bila kujua ukweki lakini thamani ya battery pekee ni 30% ya bei ya gari, kwamba kama utatoa milioni 100 basi battery ikifa andaa milioni 30+ au zaidi kwani huenda ukaambiwa ubadili na battery management system. Watu mliowahi kununua injini za gari za mafuta nazani mtaelewa hapa kwenye battery na engine kipi nafuu.
Tukiangalia Tesla Cyber truck baytery yake inauzwa $20,000 lakini bado kuna battery la $16000 linajulikana kama range extender au reserve. Jumla ya battery pekee ni $36,000 zaidi ya milioni 80 za kitanzania na unatakiwa baada ya miaka 10 hadi 20 ubadili battery kulingana na matumizi yako.
Hitimisho: Hizi gari sizioni Afrika leo wala kesho kutwa.
Charger za hizi gari ni 25k $

Bora kukomaa tu na IST
 
xeev.jpg
 
Habari wapendwa. Ni wazi dunia inapigana kuhakikisha gari za umeme ndio zinatawala kwa hoja ya kuwa rafiki na mazingira. Licha ya yote bado hizi gari ni changamoto hasa inapopata damage.
Tuchukue mfano kesi ya hivi karibuni huko Vancouver, mmiliki wa Hyundai Ioniq 5 ya mwaka 2022 alipata ajali iliyopelekea cover plate ya battery pack kubonyea na kuharibu battery lakini body haikuwa hata na mchubuko. Gari hii thamani yake ni $41,245 mpaka $55,745 ikiwa mpya lakini Bill ya kubadilisha betrii alipewa $60,000. Aliporipoti katika shirika la bima la ICBC(Insurance Corporation of British Columbia) waliiandika gari kama haitengenezeki kwa sababu matengenezo yamezidi thamani ya gari.
Professor mmoja huko Marekani anasema, " hizi gari watu wanazinunua bila kujua ukweki lakini thamani ya battery pekee ni 30% ya bei ya gari, kwamba kama utatoa milioni 100 basi battery ikifa andaa milioni 30+ au zaidi kwani huenda ukaambiwa ubadili na battery management system. Watu mliowahi kununua injini za gari za mafuta nazani mtaelewa hapa kwenye battery na engine kipi nafuu.
Tukiangalia Tesla Cyber truck baytery yake inauzwa $20,000 lakini bado kuna battery la $16000 linajulikana kama range extender au reserve. Jumla ya battery pekee ni $36,000 zaidi ya milioni 80 za kitanzania na unatakiwa baada ya miaka 10 hadi 20 ubadili battery kulingana na matumizi yako.
Hitimisho: Hizi gari sizioni Afrika leo wala kesho kutwa.


Sahihi, lakini fanya uchunguzi zaidi, umeandika kishabiki sana
 
Back
Top Bottom