Gari za M4C zinaendeshwa very rough!

Gari za M4C zinaendeshwa very rough!

Leo nimekutana tena na gari aina ya double cabin iliyobrandiwa M4C huku maeneo ya NJIRO KWA MSOLA ikiwa speed kali huku ikiendeshwa na mbunge wa Arusha MH.LEMA. Nadhani alikuwa akitokea nyumbani kwake. Tuendeshe haya magari kwa Busara jamani.
 
Hivi gari za ford si ndo za bei rahisi? Kama ford figo si nasikia inauzwa milioni 2!
 
Haya Simbachawene...nami nakutakia heri ya X-mass na mwaka mpya 2013!!mwambie mjomba kwamba..."kulipamba kaburi hakumfanyi aliyekufa afufuke" na aendelee na kazi yake ya kutenganisha mavi ya panya kwenye unga...na sis tunaendelea kuchochea kuni mbichi...
 
ile ilikuwa project ya MTU kapiga ruzuku katulia ile project ya M4c ilikuwa na hela sana sema kuna mijitu haijui na alalae usimuamshe

Project ya ukuta sema imefeli sana
 
Mkuu usihoji sana, mengine mezea tu!
Tuhoji makosa ya CCM Na Serikali yake, haya ya huku kwetu tusiyaweke wazi!!
NI HIVI TANGU TUANZE KUMILIKI MAFISADI YAANI WALIHAMIA NA HUKU HAWA WAWILI YAANI SUMUNAYE NA BABU WA MONDOLI NA UFISADI UMEKUWA SANA NDANI YA CHAMA CHETU
 
Tueleze zilitoka wapi tukwambie zilipo sasa.


hizi hapa
IMG00052-20140630-2300.jpg
 
Back
Top Bottom