nyie ndio wauaji wa chadema, mtu yeyote anyekupenda anakuambia ukweli, we mjinga, mm ni mwanachama wa chadema tokea wewe hujui chadema ni nini! Lakini siwezi kukaa kimya mali za chama changu zinapoharibiwa na wapumbavu wachache. Kama unafikiria jf ni sehemu ya porojo na utani, nadhani hauko sawa, ila mm sifanyi propaganda, kamera yangu kuna mtu nimemuazima ningeweka picha hapa!
nyie ndio wauaji wa chadema, mtu yeyote anyekupenda anakuambia ukweli, we mjinga, mm ni mwanachama wa chadema tokea wewe hujui chadema ni nini! Lakini siwezi kukaa kimya mali za chama changu zinapoharibiwa na wapumbavu wachache. Kama unafikiria jf ni sehemu ya porojo na utani, nadhani hauko sawa, ila mm sifanyi propaganda, kamera yangu kuna mtu nimemuazima ningeweka picha hapa!
Sasa wewe unadhani vuguvugu la mabadiliko ni kwenda kwa mwendo wa lelemama au?, lazima spidi.
Hivi gari likiendeshwa kwa kasi linaharibika kumbe..!!
Changes always needs no hurry and at the end they bear fruits!!!!....umesahau...kitu kingine...watu kushangilia kila wanapoyaona.....Nasikia .....watu wa Arusha wameomba kuyasukuma barabarani kama mchango wao!!!!...... pia wanaomba brand nyingi zaidi za M4C....ili wabandike kwenye magari, bodaboda, mikokoteni, nk......
sasa mchaka mchaka, wewe unaipenda sana chadema na ni chama chako, hoja ya ccm ya kwamba tumepewa magari ya wajerumani ambayo ni ya uongo mkubwa imekuwaje unaishadadia? Hiyo ni hoja ya kukidhalilisha chama. Sasa wewe hujui au unajua lakini unatekeleza mpango wa nepi wa kukidhalilisha chama chetu. Anyway kila mmoja ana haki ya kufikiri anavyoweza na hata kusema mawazo yake bila ya yeye mwenyewe kujipima kama mawazo yake yana ukurutu kiasi gani.
Onana na RTO Arusha kwa msaada zaidi.Bandugu, mm ni mwenyeji wa hapa Arusha, leo mida ya saa kumi na mbili nikipita maeneo ya stendi ndogo Gari aina ya FORD PICKUP iliyokuwa branded "M4C" na bendera ya CHADEMA ilinipita kwa kasi sana.
Haya, hiyo ikapita, nikaendelea na safari yangu kuelekea NJIRO KWA MSOLA, nikiwa njiani hapa maeneo ya njia ya kwenda SEKEI SEC karibu na PERFECT CHOICE S/MARKET ilipita " FORD YA CHADEMA " kama imeibiwa! Je ndio mwendo wa M4C huo?
Nyie madreva mliopewa dhamana ya kuendesha hayo magari yaliyotolewa msaada na Ujerumani kwa nini msiyaendeshe kwa adabu na utii? Au ndio maagizo kutoka makao makuu? Acheni kucheza na mali za chama chetu.
ndio.nape si ni dereva wa gari moja la m4c, anaeendesha kwa kujitolea!samahani mkuu, hii ni hoja nyingine ya nape baada ya hoja ya kadi kufifia?naomba kujuzwa
wanafanya hivyo maana vya kupewa havina uchungu.hili nalo la msingi ni jambo jema kuangali na kutunza mali za chama. Mkuu upo sawa
RTO au polisi wakiwachukulia hatua wataandamana nchi nzima kutaka kitwete aachie madaraka.ni bora waachwe tu.Onana na RTO Arusha kwa msaada zaidi.