Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,725
- 2,540
Wakuu
Katika harakati zangu wiki iliopita saa 12 asubuhi nilikutana na hii gari ya watoto wa nursery imepigwa tinted vioo vyote(hadi cha dereva) ispokua kioo cha mbele.
Kwa kushamiri kwa matukio ya unyanyasaji wa kingono na ukatili dhidi ya watoto, hili linawezekanaje? Unamlaumu nani
1. Kwanini mamlaka husika hawajawaamuru kuzitoa?
2. Mzazi unampakia mwanao kwenye hii gari, unawaaminije watakua hawana mambo meusi?
Unaweza kumruhusu mwanao atumie usafiri huu wa shule kupanda saa 12 asubuh? Dkt. Gwajima D una maoni gani?
Katika harakati zangu wiki iliopita saa 12 asubuhi nilikutana na hii gari ya watoto wa nursery imepigwa tinted vioo vyote(hadi cha dereva) ispokua kioo cha mbele.
Kwa kushamiri kwa matukio ya unyanyasaji wa kingono na ukatili dhidi ya watoto, hili linawezekanaje? Unamlaumu nani
1. Kwanini mamlaka husika hawajawaamuru kuzitoa?
2. Mzazi unampakia mwanao kwenye hii gari, unawaaminije watakua hawana mambo meusi?
Unaweza kumruhusu mwanao atumie usafiri huu wa shule kupanda saa 12 asubuh? Dkt. Gwajima D una maoni gani?