Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,026
Verossa ni gx115
ni kweli mkuu,Nadhani yuko serious, anamaanisha VW New Beetle, very classic little car! Inategemea ni cha mwaka gani mkuu donlucchese, ni vigari vizuri pia, lakini mimi kwa hivi vigari vidogo napendelea zaidi Mini Cooper na Hyundai Veloster.
View attachment 139399
View attachment 139402
View attachment 139403
Zitambueni kwanza gx series kuanzia gx 80, gx 90, gx 100, gx 110 na sasa gx 120.
verosa na mark 2 gx 110 ni kitu kimoja. Mark X ni gx 120 na ndiyo latest sedan kwenye series za gx.
Zile baloon chaser, mark 2 na cresta ni gx 90
zile mark 2, chaser na cresta za zamani zaidi ni gx 80.
ni kweli mkuu,
yaan kama hicho cha kwanza mi nakielewa sana. kuna zile TAT mini car nliziona India, sijui hapa bongo zitakuepo? sijui itakua bei gani ila ni vindinga flan simpo sana na very economical when it comes to fuel consumption
Zitambueni kwanza gx series kuanzia gx 80, gx 90, gx 100, gx 110 na sasa gx 120.
verosa na mark 2 gx 110 ni kitu kimoja. Mark X ni gx 120 na ndiyo latest sedan kwenye series za gx.
Zile baloon chaser, mark 2 na cresta ni gx 90
zile mark 2, chaser na cresta za zamani zaidi ni gx 80.
Uko sahihi mkuu. Verossa in successor ya Mark II name haikufaa ndiyo chap chap wakatengeneza Mark X kama successor ya Verossa. Mark X ndiyo mpaka sasa wanatengeneza. Ni kama Viltz ilivyotengenezwa badala ya Starlet. Camry ni kitu kingine tofauti. Naona Kaka anataka kuwaingiza watu mkenge.
Verossa ni gx115
Brevis ni gx ngapi?
brevis na progress ni XG platform/series.
JFAdminstrator weken na forums ya magari/locomotive na vyenginevyo tupambuke kimawazo,
Kuna hoja ile ya nataka gari ya alteza. Au ile ya subari inanifirisi ni theard ambazo zimetupambua sana kuhusu magari maana wengine tuki goolge kizungu kina tupa kizungu zungu.
Pili mbongo anavyoelezea ni real life na maisha yetu sio mifano ya waarabu au waulaya wenyewe wanavyoeleza.
Tuanzishiwe forums ya MAGARI na vyombo vya usafiri
红杏出墙面的哥儿媳妇孺,你说那明能再多就这么办事给你家就没想。
ጨጠተረኸረኘቀፈገደጸጀጀመቨቸቀዠጨጠሐጰፐለጀጸገፈደተጨረአዠአኸረፈፈገጸመቨቸሸጨጠደፈጀ
JFAdminstrator weken na forums ya magari/locomotive na vyenginevyo tupambuke kimawazo,
Kuna hoja ile ya nataka gari ya alteza. Au ile ya subari inanifirisi ni theard ambazo zimetupambua sana kuhusu magari maana wengine tuki goolge kizungu kina tupa kizungu zungu.
Pili mbongo anavyoelezea ni real life na maisha yetu sio mifano ya waarabu au waulaya wenyewe wanavyoeleza.
Tuanzishiwe forums ya MAGARI na vyombo vya usafiri
Acheni ushamba nyinyi, lugha rasmi za hii forum ni kiswahili na kiingereza. Ninyi mnaandika ki------- tuwaeleweje? Wazazi wenu pia mnawasiliana nao kwa maandishi hayo au ndo kutaka sifa za kijinga? Jadilini mada kwa lugha zizoeleweka kwa wana JF siyo kuleta upunguani wenu humu