TCleverly
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,921
- 873
Hii ni Verossa GX 110![]()
![]()
Hii ni Mark II ambayo ni GX 110
![]()
Kabla ya hapo ilikuwepo Mark X ndipo wakaiga muundo na kuuboresha kwenda Verossa
Kwa sasa Verossa ndio gari ya kisasa kwa kila kitu pia hutumia Diff badala ya zile nyingine za Front wheel
The Toyota Verossa was a sedan produced by the Toyota Motor Company The Verossa exceeded Japanese government regulations concerning external dimensions and engine displacement, offering buyers a sedan that continued to offer a front engine rear drive platform, opposite the 2001-2006 Toyota Camry with very similar dimensions and front wheel drive. The advantage the Verossa offered over the Camry was the ability to offer all wheel drive, which the Camry couldn't do. The Verossa appeared in conjunction with the Toyopet Store alternative called the Progrès, and the Toyota Store Brevis.
Toyota replaced the aging Toyota Mark II stablemates, the Chaser and Cresta
acha kulisha watu sumu......VEROSSA ilitaka kureplace MARK II GX11O lakini ika-FLOP na ikawa DISCONTINUED 2003/4 hivi ndio wakatoa MARK X ambayo hadi kesho inatengenezwa na ni very successful kwa JAPANESE MARKET....EUROPE NA USA badala ya MARK II/X KUNA CAMRY.