Gari: Toyota GX110 Vs VEROSSA

Gari: Toyota GX110 Vs VEROSSA

JFAdminstrator weken na forums ya magari/locomotive na vyenginevyo tupambuke kimawazo,
Kuna hoja ile ya nataka gari ya alteza. Au ile ya subari inanifirisi ni theard ambazo zimetupambua sana kuhusu magari maana wengine tuki goolge kizungu kina tupa kizungu zungu.
Pili mbongo anavyoelezea ni real life na maisha yetu sio mifano ya waarabu au waulaya wenyewe wanavyoeleza.

Tuanzishiwe forums ya MAGARI na vyombo vya usafiri

Mbona jukwaa lipo kitambo
 
kachukue Brevis au progress...zote km Qatar airways ndani, zinakimbia sana na ulaji mafuta ni 9km kwa litre na 11.6 kama utaenda long route
Brevis si gar ya kumshaur mtu anunue
 
Miaka hio ya 2014 halikuwepo boss.

Mkuu hii gari nimeambiwa ni Corolla.
Unaweza kuniambia ni Corola nini, yaani Gx 110, E 110, Sedan sijui nini.
Screenshot_20200606-101902_1591446721470.jpg
 
Back
Top Bottom