Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,631
- 6,495
JFAdminstrator weken na forums ya magari/locomotive na vyenginevyo tupambuke kimawazo,
Kuna hoja ile ya nataka gari ya alteza. Au ile ya subari inanifirisi ni theard ambazo zimetupambua sana kuhusu magari maana wengine tuki goolge kizungu kina tupa kizungu zungu.
Pili mbongo anavyoelezea ni real life na maisha yetu sio mifano ya waarabu au waulaya wenyewe wanavyoeleza.
Tuanzishiwe forums ya MAGARI na vyombo vya usafiri
Mbona jukwaa lipo kitambo