Ccm wapumbavu sana
Hii nchi haina jeshi la Polisi, Said Mwema amefanya jeshi la Polisi kuwa la hovyo sana. Polisi kwa sasa ni Wing ndani ya CCM, wanafanya kazi zote za CCM kuanzia kupanga njama za kutesa watu, kuua na kulipulia mabomu raia. Mwigulu Nchemba ndio IGP kwa sasa anawatuma Polisi wafanya anayotaka yeye. Shime watanzania miaka miwili sio mingi tusifanya makosa ya kuwarudisha hawa maccm madarakani. Haya mabaya wanayotufanyia yana mwisho wako, Mh Nassary vumilia tu ingawa ni ngumu kumeza. Watu wanaotakiwa kuwa jela saizi wanasimamia uchaguzi...
Kwa kweli maono na mikakati ya CCM inaweka katika mazingira ya Kiutu uzima, nafikiri hili linawatosha na kuwapa nguvu na moyo mkamilifu wa kusonga mbele!!IGP na vyombo vya usalama wanaujua huu mpango na ndiyo maana hakuna hatua inayochukuliwa.