hapa Makuyuni chadema hamna chenu, ni bora mkaanza kutafuta propaganda za kujieleza kwanini mmeshindwa! kwani gari linapiga kura???
gari linapiga kura???? .sikuelewi mkuu inaonesha umemaanisha kitu hapo
hapa Makuyuni chadema hamna chenu, ni bora mkaanza kutafuta propaganda za kujieleza kwanini mmeshindwa! kwani gari linapiga kura???
KUTOKA F YA JOSHUA NASSAR.
Ile gari iliyoshikwa na katika jaribio la kutaka kuniteka juzi usiku
likiwa na raia watatu wenye asili ya kisomali na dereva wake
akiwa ni kada wa
ccm mdogo wake na
aliyekuwa diwani wa ccm makuyuni.Gari na watu walewale ambao waliachiwa
pamoja na kukutwa na dawa za kulevya (mirungi), leo wanasimamia kura
kama mawakala wa ccm na gari yao ipo kwenye kituo cha Zaburi umbali wa
mita 2 tu, kinyume na utaratibu. Wako wapi wanausalama, iko wapi tume ya
uchaguzi.
source
HAPA
yani uwongo mwingi uko wazi. Mita 2 mhh. Yn chadema wameanza shindwa uchaguzi mapema sana toka jana wanatafuta huruma. Wamepiga mabomu ili wapate huruma hz ni mbinu haramu
Mita mbili umbali wa kituo? Mbona hii kali. Hivi unazijua mita mbili?.
Huu hauwezi ukawa ni uvivu wa kufikiri bali ujinga wa kutojua vipimo.
Sometime, it's better to feel ashamed and stop writing nonsense.
Hawa wengine tusiwe tuna wajibu...ni vilaza sana hawa madogo wa CCM...Hujaelewa concept... Hivi watu wanavyoambiana nisubii nakuja ndani ya sekunde moja ... Unaelewaje elewaje hii kauli?
Usitumie masaburi
Mita mbili umbali wa kituo? Mbona hii kali. Hivi unazijua mita mbili?.
Huu hauwezi ukawa ni uvivu wa kufikiri bali ujinga wa kutojua vipimo.
Sometime, it's better to feel ashamed and stop writing nonsense.